Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 796
1. Usijisumbue kumwelewa mwanamke, ukimpenda inatosha.
2. Mwanamke aliye chuoni bado yuko moto, lazima akusumbue tu. Huyo atakuja kutulia baada ya kumaliza chuo, miaka mitatu ya mtaani, ndiyo ataanza kueleweka, ila kwa sasa atakusumbua sana. Kuwa makini usije ukawaste time.
2. Mwanamke aliye chuoni bado yuko moto, lazima akusumbue tu. Huyo atakuja kutulia baada ya kumaliza chuo, miaka mitatu ya mtaani, ndiyo ataanza kueleweka, ila kwa sasa atakusumbua sana. Kuwa makini usije ukawaste time.