Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Carnivora

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
3,651
5,986
Habari za Jumamosi wakuu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina rafiki wa kike ambaye nishamweleza kinaga ubaga nia yangu ya kumuoa. Yeye ni mwanafunzi wa chuo na Mungu akipenda atahitimu mwakani miezi ya mwanzoni.

Kuna kitu kinanitatiza sana kuhusu yeye na mpaka sasa sielewi. Ni hivi, licha ya kwamba namhitaji kwa ajili ya ndoa na akashauri nimsubiri amalize masomo; mwezangu amekuwa msiri mno. Hapendi uhusiano wetu ufahamike kwa watu wake wa karibu. Mfano, nilikuwa na mawasiliano na dada yake lakini akanikataza kwa kuniomba nisiendelee kuwasiliana naye. Yaani niwe nampotezea, sababu dada yake ni mapepe kidogo. Binafsi sikuona sababu ya msingi ya kunifanya nimpotezee kabisa kabisa. Siku hizi sioni hata akinisalimu kama ilivyokuwa kawaida yake nahisi naye amemkataza kuwasiliana nami.....ingawa alikataa kuwa hajamuambia dadake afanye hivyo ila ni mimi tu ndio ameniomba nisitishe mawasiliano ya mara kwa mara.

Kingine ni katika mazungumzo yake hasa ya message baina yetu. Anaweza kusema "mimi atakayeniowa asifanye hivi au vile" wakati anajua kabisa mi huwa sifanyi hivyo. Mfano leo kasema "mwanaume akija kunichumbia akifanya......aende tu akaowe pengine, sio lazima anioe". Hapendi kuzungumzia our future. Ni kama yuko nami ila bado room iko wazi kama akija mwingine anaweza kuconsider, kutokana na hayo maneno yake yanayonirudia rudia. Alishawahi kumuonesha mama yake picha zangu na kumpa habari zangu. To the top of her CRAZINESS alimuonesha na pic ya jamaa mmoja yuko nje ya nchi ila anataka kurudi bongo akaomba atafutiwe mchumba msomi. Anti yake (binti) ndio alimpa habari hizi na akamuonesha picture (ya jamaa) naye akamuonesha mama yake. Mama yake wanted to know more about me kuliko mchizi wa nje. Story hii kaniambia yeye mwenyewe. I didn't buy the story though. Akiwa kwao mkoani huwa nampigia simu natafuta sababu (mfano akiwa anaumwa) niongee na mama yake ila huwa anakwepesha jambo hili.

Niwape kidogo kuhusu yeye. Mwanzo nilipimtongoza alikataa.....akisema tuwe marafiki tu wa kawaida. Kama mwanaume atampata tu atakapomaliza masomo na hajajua wazazi wake watampangia nani wa kumuowa. Nikakomaa kiume kweli kweli ndio akanielewa. Akawa mtu wangu wa karibu sana akanipa VITU vingi sana mpaka siri za familia yao na kuniamini sana. Kati kati hapo akayumba.....mapenzi yaliyumba mno. Akisingizia ni ubusy na masomo. Niliona huyu binti ni pasua kichwa. Nikapanga kumwacha aendelee na maisha yake, nikaanza kumpotezea pole pole nami nikijifanya niko busy na kazi zangu.

Alipoona reaction yangu hiyo...akajirudi na kuomba tuwe kama zamani. Na hapa naomba niwe wazi, siku moja tulikuwa tunapata chakula mahali fulani akaona kuna simu imeingia ikampa mashaka na niliyekuwa naongea naye. Hakuniuliza pale pale. Tulipoagana ndio akafunguka kuwa anahisi nina mtu, na roho inamuuma. Sikumficha....nilimuambia yule dada huwa ananisumbua na ni mtu mwenye wadhifa tu. Akahoji kwanini ananisumbua....nikamwambia yeye hudai nimekuwa mtu wa mawazo sana...so anataka kunijulia hali na kunifariji. Baada ya kisanga hiki ndipo akaona threat na kujirudi kwa kuomba msamaha kuwa ni kweli amekuwa mbali nami kiasi napata stress.

Ni mtu anayependa sana dini na ana misimamo, hili nalipenda bila shaka. Anapenda sana privacy na hana marafiki wengi. Sio muasherati hili nina uhakika nalo. Niseme ukweli, NAMPENDA SANA huyu binti na anajua hilo. Nimekuwa nikimsaidia hili na lile na sometimes naogopa kutumia pesa yangu nyingi kwake sababu sijamuamini bado. Simsomeshi, bali namsaidia kiasi ambacho am willing to loose. Naogopa kuja kulia baadaye. Na najiona kama nabet kwake juu ya hatma yetu.

Binafsi namuona bado hajafanya maamuzi rasmi ya kujicommit kwangu au bado hajakuwa kiakili....japo mi siamini to the latter. Nimepanga kumuambia kuwa nimefikiria tuachane nione reaction yake. Akinipa go ahead....I'll leave her for good. Niko tayari kwa lolote. I don't need to beg to be loved.

Unanishauri nini? Samahani kwa uzi mrefu.
 
Habari za Jumamosi wakuu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina rafiki wa kike ambaye nishamweleza kinaga ubaga nia yangu ya kumuoa. Yeye ni mwanafunzi wa chuo na Mungu akipenda atahitimu mwakani miezi ya mwanzoni.

Kuna kitu kinanitatiza sana kuhusu yeye na mpaka sasa sielewi. Ni hivi, licha ya kwamba namhitaji kwa ajili ya ndoa na akashauri nimsubiri amalize masomo; mwezangu amekuwa msiri mno. Hapendi uhusiano wetu ufahamike kwa watu wake wa karibu. Mfano, nilikuwa na mawasiliano na dada yake lakini akanikataza kwa kuniomba nisiendelee kuwasiliana naye. Yaani niwe nampotezea, sababu dada yake ni mapepe kidogo. Binafsi sikuona sababu ya msingi ya kunifanya nimpotezee kabisa kabisa. Siku hizi sioni hata akinisalimu kama ilivyokuwa kawaida yake nahisi naye amemkataza kuwasiliana nami.....ingawa alikataa kuwa hajamuambia dadake afanye hivyo ila ni mimi tu ndio ameniomba nisitishe mawasiliano ya mara kwa mara.

Kingine ni katika mazungumzo yake hasa ya message baina yetu. Anaweza kusema "mimi atakayeniowa asifanye hivi au vile" wakati anajua kabisa mi huwa sifanyi hivyo. Mfano leo kasema "mwanaume akija kunichumbia akifanya......aende tu akaowe pengine, sio lazima anioe". Hapendi kuzungumzia our future. Ni kama yuko nami ila bado room iko wazi kama akija mwingine anaweza kuconsider, kutokana na hayo maneno yake yanayonirudia rudia. Alishawahi kumuonesha mama yake picha zangu na kumpa habari zangu. To the top of her CRAZINESS alimuonesha na pic ya jamaa mmoja yuko nje ya nchi ila anataka kurudi bongo akaomba atafutiwe mchumba msomi. Anti yake (binti) ndio alimpa habari hizi na akamuonesha picture (ya jamaa) naye akamuonesha mama yake. Mama yake wanted to know more about me kuliko mchizi wa nje. Story hii kaniambia yeye mwenyewe. I didn't buy the story though. Akiwa kwao mkoani huwa nampigia simu natafuta sababu (mfano akiwa anaumwa) niongee na mama yake ila huwa anakwepesha jambo hili.

Niwape kidogo kuhusu yeye. Mwanzo nilipimtongoza alikataa.....akisema tuwe marafiki tu wa kawaida. Kama mwanaume atampata tu atakapomaliza masomo na hajajua wazazi wake watampangia nani wa kumuowa. Nikakomaa kiume kweli kweli ndio akanielewa. Akawa mtu wangu wa karibu sana akanipa VITU vingi sana mpaka siri za familia yao na kuniamini sana. Kati kati hapo akayumba.....mapenzi yaliyumba mno. Akisingizia ni ubusy na masomo. Niliona huyu binti ni pasua kichwa. Nikapanga kumwacha aendelee na maisha yake, nikaanza kumpotezea pole pole nami nikijifanya niko busy na kazi zangu.

Alipoona reaction yangu hiyo...akajirudi na kuomba tuwe kama zamani. Na hapa naomba niwe wazi, siku moja tulikuwa tunapata chakula mahali fulani akaona kuna simu imeingia ikampa mashaka na niliyekuwa naongea naye. Hakuniuliza pale pale. Tulipoagana ndio akafunguka kuwa anahisi nina mtu, na roho inamuuma. Sikumficha....nilimuambia yule dada huwa ananisumbua na ni mtu mwenye wadhifa tu. Akahoji kwanini ananisumbua....nikamwambia yeye hudai nimekuwa mtu wa mawazo sana...so anataka kunijulia hali na kunifariji. Baada ya kisanga hiki ndipo akaona threat na kujirudi kwa kuomba msamaha kuwa ni kweli amekuwa mbali nami kiasi napata stress.

Ni mtu anayependa sana dini na ana misimamo, hili nalipenda bila shaka. Anapenda sana privacy na hana marafiki wengi. Sio muasherati hili nina uhakika nalo. Niseme ukweli, NAMPENDA SANA huyu binti na anajua hilo. Nimekuwa nikimsaidia hili na lile na sometimes naogopa kutumia pesa yangu nyingi kwake sababu sijamuamini bado. Simsomeshi, bali namsaidia kiasi ambacho am willing to loose. Naogopa kuja kulia baadaye. Na najiona kama nabet kwake juu ya hatma yetu.

Binafsi namuona bado hajafanya maamuzi rasmi ya kujicommit kwangu au bado hajakuwa kiakili....japo mi siamini to the latter. Nimepanga kumuambia kuwa nimefikiria tuachane nione reaction yake. Akinipa go ahead....I'll leave her for good. Niko tayari kwa lolote. I don't need to beg to be loved.

Unanishauri nini? Samahani kwa uzi mrefu.
Kusanya kila kilicho chako uanze safari nyingine
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
fact
 
mkishauliwa mnakuwa na maamuzi tayali kifuani ndomaana watu wengine humu hawachangii.Huyo mdada anataka kucheza kotekote,Moyo wake uko kwa huyo jamaa wa nje lakini hana uhakika kama jamaa atamkubali kwa mikono miwili ndo maana hataki wewe kukupoteza ili uwe spea yake.Akili kichwani mwako
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
Kama ulikua kwenye mawazo yngu
Huu ndo ushauri wa kiume mtoa mada apitie hapa
Kufanywa second option si kitu poaa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom