Acha kulalamika, pesa za kununulia nyanya hizi.Nauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Hiyo ndio dawa yao tuMkuu hapo si ulikua unahudumia kabisa kama mke wako tu sasa mpe talaka 3 akome kabisa
Ana wenge sana na mtu katoa pesa kwa hiari yake et anakuja kulia hapa katapeliwaKabisa. Atulizane tu yaani
Yaan uliji race ivyo? yaani umeamua kumpa mtaji mwenzio huo ni mtaji toshaNauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Mkuu pole sana, hawa watu hela ndio kila kitu kwao!!! Siku nyingine usitume hela ni uangalie namna nyingine ya kuonana naeMO11: nafanyaje mkuu, yeye kama hanitaki angesema tu kuliko kunitapeli
Jina lako ni jibu tosha mkuuHabari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Chardams:Acha kulalamika, pesa za kununulia nyanya hizi.
Hiyo ndio dawa yao tu
Bigbon:Mkuu umetapiliwa kikubwa.....kikubwa tambua kuwa umebet hizo hela
Bado mdogo Sana. Hakua na mapenz kwakoHabari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Nakuambia kitu ambacho nime experience; dawa yake mpotezee atakutafuta mwenyewe.Chardams:
Inawezekana kwa upande wako uko right kabisa
Ulijilegeza sana.Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Khaa! Ungekutana na mimi ningekufunza kukaa kimya, hivyo ungevumilia maumivu kimya kimya wala huku usingekuja.emmyta:
unanipa makavu live daaah najuta kukutana na ww
Si ndio hapo sasa. Alishajifanya tajiri pia ana bahati kuwahi kumwambia aende la sivyo angejuta zaidi ya hapo.Ana wenge sana na mtu katoa pesa kwa hiari yake et anakuja kulia hapa katapeliwa
agata edward:Pole Mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu unachopitia
Nadelete namba kabisa maana hanijui vizuri.Nakuambia kitu ambacho nime experience; dawa yake mpotezee atakutafuta mwenyewe.
Hajielewi kabisaa mkuu, na alijua kunilegeza maana kila akiomba natuma.Kama ni kweli Huyo mwanamke hajielewi.
Unaachaje kuendelea kumchuna mtu anayetuma hela kwa kuridhika na hela ya nauli??
Kwani angekupa k akaendelea kukulia hela kingeisha?