Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hujui kushawishii tena akikaribia unamwambia anunue matunda ya juisikakataa kukopa
Hujui kushawishii tena akikaribia unamwambia anunue matunda ya juisikakataa kukopa
asantePoleee
nimemshawishi sana cha kushangaza sim hapokei anampa mtu anijibu anaogaHujui kushawishii tena akikaribia unamwambia anunue matunda ya juisi
Mimi nimepigwa mshahara wa miezi miwili kwa kujipendekeza tu wala hakuniomba na sijaona ndani, lengo lilikuwa kumuonesha upendo kumbe nilikuwa namuonesha ufala pasipo kujua , kila nikitaka mzigo naambiwa nitulie nisiwe na harakaAcha kulalamika hela tu ya chipsi ndo inakutoa povu, ungehonga gari je?
Hilo ni fundisho hope sikunyngne huez rudia

Utani wa makofi huuUtakuta 2000 ya bajaji.
Teh teh teh
pole mkuu sasa hivi pesa ngumu kupatikanaMimi nimepigwa mshahara wa miezi miwili kwa kujipendekeza tu wala hakuniomba na sijaona ndani, lengo lilikuwa kumuonesha upendo kumbe nilikuwa namuonesha ufala pasipo kujua , kila nikitaka mzigo naambiwa nitulie nisiwe na haraka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hizo zako zidisha mara 17 utapata hesabu ya nilizopigwa mimi, tulia tu ukicheza kamali uwe tayari kuliwaNauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Assume amepigwa roba na kibakahahaha nyingi mkuu, ila assume umempa mshikaji wako
eeeeh mkuu umepigwa sana hahhahahHizo zako zidisha mara 17 utapata hesabu ya nilizopigwa mimi, tulia tu ukicheza kamali uwe tayari kuliwa
99.9% ni dhaifu kwa wanawake wawapendaobrother usiongee generally kias hiko et wanaume ni dhaifu kwa wanawake.....sema" baadhi yetu sisi wanaume ni dhaifu kwa wanawake"
Ni mjanja ila ujanja wake ulipotea njia za mwizi 40, sasa huyo demu naye atakuja kukutana na kichwa cha mwendawazimuMjin shule..... pole kwa kutapeliwa kirahis... siku nyingine uwe mjanja.
Ukijua location utambaka?Tatizo umelitengeneza wewe mkuu
Kwanza ID yako inasadifu umerogwa wewe
Pili hukupaswa kuingia mzima mzima ulipaswa ujue location yake kisha umtembelee mitaa yake ili nauli isitumike labda elfu moja toka kwake mpaka hapo ulipopiga kambi.
Yasingetokea hayo mkuu
BTW jifunze kwa makosa yako
Msipokuwa tayari kutoa mizigo yenu vyao msile, kumbuka ukila bure iko siku utaliwa bure tuHawawezi kuumia kwa sababu walio wengi wanatoa kwa mapenzi yao hatuwalazimishi.
Ohooo umelogwa weweemmyta:
Mi mtu fulani nina huruma sana sana, nataka nikuhakikishie ata kama inatokea nikawa nawewe hutajuta.
Ni PM
Mnapenda pesa au Mnapenda mbinu!!!Umeonaee akae tu kimya ila ndio ajifunze. Pia nionavyo itakuwa hana mbinu za kudumisha penzi hivyo akaona pesa ndio kila kitu
Imekula kwake hiyo.
Hahahaaa! Kwani si wanatoa kwa hiari yao tutakataaje sasa hayo mengine ni matokeo tu.Msipokuwa tayari kutoa mizigo yenu vyao msile, kumbuka ukila bure iko siku utaliwa bure tu