kila mwisho wa mwezi natumaMara ya mwisho kutuma hela kijijini kwa wazee wako ni lini?
Hata hana dalili za kuja maana sim hapokei.Akimalza kuoga safari ni ya kuja kwako mkuu relux na acha mawenge.
usiombe kupenda mkuuKweli umerogwa wewe
sh ngp ulimtumia?Hata hana dalili za kuja maana sim hapokei.
angalia post #29sh ngp ulimtumia?
Huu msimu wa Magufuri wanatakiwa wapewe kauli za kikatili...yaani wengi wamekuwa matapeli sasa, tabia zao wamezianika wazi sasa....namshukuru Magufuri kwa kufanya yote aliyoyafanya...tambia mbaya za watu wengi zimeanza kuonekana waziwazi. Wanawake ni wezi zijapata kuona, kuna mwingine kavuna mazao yangu shambani yaani!, mwingine kakimbia na simu zangu mbili, haaa!... Hatari sana!!! Cheza nao mbali aisee!Dundo_Boy
Hawa viumbe ukiwapa hela wanakuona zezeta ukiwabana wanakuona bahili..
Ila hakuna tatizo najua atapiga tu sim nampa makavu
kakataa kukopaUngemwambia akope then mkimalizana nae ndo ufanye ustaarabu
Yaani ungekua mwanangu ningekuchapaaa! Nyuzi ngapizianzishwa humu kuhusu kutotumia wasichana nauli????
