Ila sio usalitiupendo hauhesabu mabaya....
Yeye mwanamke ndio mwamuzi wa mwisho huwez jua alikuwa anakunwaje au ulijimilikisha Jimbo baada ya jamaa kuondoka?Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).
Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.
Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.
Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!
Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?
WeYani mtoto wa mwisho anamiez 9 halafu mumewe aliondoka miaka mitano iliyopita? Unatuonaje cc aiseeAnawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).
Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.
Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.
Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!
Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?
Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).
Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.
Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaend
Nadhani amemaanisha miezi 9 baada ya kuzaliwaWe
Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
Mwanaume kaondoka miaka mitano iliyopita mtoto wa mwisho ana miezi
Huyo mke wa mtu kamwacha katavi. Anadai wameachana.Amerudi na mke wa mtu ama amerudi peke yake? Na mke wa mtu yupo wapi kwa sasa?
Malizis basi uzi tuweze kutoa ushauri vizuri
Mtoto anaumri wa miez 9 maana yake mtoto alizaliwa baada ya kufikisha miezi 9. Huyu jamaa akaondoka.Mwanaume kaondoka miaka mitano iliyopita mtoto wa mwisho ana miezi.
Hujanielewa.We
Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
msamaha ni muhimu,ila aende nae kwa viongozi wa dini,mwanaume atubu na aombe radhi na amsamehe,wakapime ukimwi,akiwa hana asubiri baada ya miezi 3 ampime tena,basi akiwa hana warudianeAnawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).
Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.
Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.
Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!
Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?