Huyu mwanajeshi mwizi unamjua?

Huyu mwanajeshi mwizi unamjua?

9+4=13Bn + 6.8bn za Masogange=19.8Bn duuuuuuuuuuuuuuuu Bajeti ya wizara ya maji hiyo
 
Aliyemtuma meno yupo wapi?soko lao lipo wapi ?ahojiwe vizuri angalau awataje wote walioshiriki kuangamiza mimia ya Tembo
 
😱!! mwenyewe katuliiaaa... kama hana kesi vile

Si anajuwa anakwenda kituoni kutoa maelezo tu na hawa wanaompigapiga picha wakiondoka tu na yeye anaachiwa then tutaambiwa ametoroka akiwa chini ya ulinzi wa polisi then basi lives goes on hakuna wa kithubutu kuuliza labda uwe umeyachoka meno yako na kucha zako
 
Huyu bila shaka atakuwa mume wa Masogange, halafu inavyoonekana huyu mjeshi ni ndugu na Kinana, mbona kama wanafanana kasoro rangi tu.
 
Aliyemtuma meno yupo wapi?soko lao lipo wapi ?ahojiwe vizuri angalau awataje wote walioshiriki kuangamiza mimia ya Tembo
Sasa wewe unatafuta kung'olewa meno na kucha bila ganzi, watu wametulia Chimwaga/Mtaa wa Lumumba wanaeneza sera na propaganda wewe unataka wakakamatwe, kwani wao ndio walioshikwa na hayo meno. Hahahahahahaaaaaaa
 
Dah!!! Duniani kuna mambo! Jino 1 la tembo jamaa kala pingu! Lakini Mh, Kinene anapeleka shehena kibao nje hajakamatwa... Hatareeeeeeee!!!
 
Shimbo ni mwanasiasa! si unajua sasa ni balozi China? coplo ni mtu mdogo sana, hivi vyombo kadili unavyopanda juu unaanza kuwa mwanasiasa automatic mkuu!

Kama ndivyo hivyo wa koplo atakataa vipi amri ya kubwa mwanasiasa?
 
Shimbo ni mwanasiasa! si unajua sasa ni balozi China? coplo ni mtu mdogo sana, hivi vyombo kadili unavyopanda juu unaanza kuwa mwanasiasa automatic mkuu!

Habari inasema ni afsa wakati jamaa ni koplo. Jamani kama hamjui kuvitofautisha vyeo vya jeshi bora mseme mwanajeshi. Huyo ni askari mwenye cheo cha koplo na sio afsa wa jeshi. Afsa wanaanzia cheo cha Luteni usu/ nyota moja na kupanda hadi jenerali.
 
jangili1.jpg

mwanajeshi aliekukutwa na jino la tembo akiwa chini ya ulinzi pamoja na kidhibiti chake.






siku ya 40 imetimia
 
Habari inasema ni afsa wakati jamaa ni koplo. Jamani kama hamjui kuvitofautisha vyeo vya jeshi bora mseme mwanajeshi. Huyo ni askari mwenye cheo cha koplo na sio afsa wa jeshi. Afsa wanaanzia cheo cha Luteni usu/ nyota moja na kupanda hadi jenerali.


Nashukuru umeliona hilo! hiyo ni tabia ya kuropoka usilolijua litakusumbua! ni wabishi hao, eti ofisa
 
Back
Top Bottom