Ambae ni kanali.mstaafmstaafu wa jeshi!
Mkuu hapo kwenye red color naona kama n vile...Huyu ni mbuzi wa kafara, kinara wa meno ya tembo anajulikana
huyu kesi yake ni kuhamishiwa lugalo, huko labda ataiba meno ya kuku... teh teh...adhabu za kubongo ni kuhamishiwa kambi tu..!!kesi yake inaendeleaje au watasema tena wanasubiri upelelezi ukamilike?
Mkuu hapo kwenye red color naona kama n vile...
Ni Koprol? Mkubwa kimwili kama TEMBOO LOL