Elimringi moshi
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 191
- 108
Ujue ndio maana mkiambiwa wanawake hamna msimamo msilalamike. Its just that there is no certainty when dealing with you guys.
Anajali kuliko mchumba kwani unawashindanisha? (Maslahi na ndoa ni vitu tofauti dada)
Kwa hiyo unahangaika hadi upate anayekujali kuliko wote duniani ndo akuoe?
Kujali unakutafsirije wewe? Kwa sababu mimi nikiwa nakupa 10,000/= akaja anayekupa 100,000/= si kwamba anajali kuliko mimi, labda ndo uwezo wake? na ukiniacha kwa ajili yake akaja wa kutoa 1M?
Hebu malizia kulala halafu uje uandike tena kwa kweli...Manake hizi stress za kwenda kugombea daladala inawezekana zishakuvuruga asubuhi asubuhi
well said, most of women are oppotunist!