Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Nilimpa Lifti Ya Usafiri Asubuhi Moja Hivi Kwa Lengo La Kumuwahisha Skuli Sasa imekuwa " NONGWA " Kwangu Kwani Siku Aliyopanda Gari Langu , Alikuta Business Card Yangu Kwenye Kiti Akaichukua Kwa Siri Na Kuitunza Kwa Begi Yake. Sasa Baada Ya Muda Wa Siku Kadhaa Ameanza Kunisumbua Kuwa Anataka Kuonana na Mimi Kwani Ana Zawadi Yangu Anataka Kunipa.

Mwnzoni Nilimpotezea Lakini Sasa Amekuwa Hasikii Wala Haambiliki Kwani Muda Wote Ananisumbua Hewani Mpaka Najiuliza Hiyo Form Six Anayosoma Anapata Wapi Muda Wa Kuwa Na Simu Muda Wote?
Wadau Hasa Wataalam Wa Saikolojia Nipeni Ushauri Wenu Nimfanyaje HUYU MTOTO ili Alizike Na Asinitafute Tena Maana sitaki Kumuharibia Future Yake Japo Denti Nae Sio Haba Najua Hapo Tambaza Anakimbiza sana Hata Hao Maticha Wake. Nipeni Ushauri Wakuu...

Uliwezajie kumiliki gari wakati akili ya kusolve ishu hii hauna? hiyo gari ni ya kurithi au ya kampuni?
 
sinaga historia yakuachaga madent wanaojipendekezaga sasa sijui wewe huo moyo mdhaifu umeutoa wapi
 
Mkuu umepewa jaribu dogo tu tena na mwanafunzi halafu unaweweseka namna hii. Je, ukipewa jaribu kubwa!!! Fanya unachoona ni sahihi maana wewe ni mtu mzima na hivyo una uwezo wa kuamua kwa usahihi.
 
Nilimpa Lifti Ya Usafiri Asubuhi Moja Hivi Kwa Lengo La Kumuwahisha Skuli Sasa imekuwa " NONGWA " Kwangu Kwani Siku Aliyopanda Gari Langu , Alikuta Business Card Yangu Kwenye Kiti Akaichukua Kwa Siri Na Kuitunza Kwa Begi Yake. Sasa Baada Ya Muda Wa Siku Kadhaa Ameanza Kunisumbua Kuwa Anataka Kuonana na Mimi Kwani Ana Zawadi Yangu Anataka Kunipa.

Mwnzoni Nilimpotezea Lakini Sasa Amekuwa Hasikii Wala Haambiliki Kwani Muda Wote Ananisumbua Hewani Mpaka Najiuliza Hiyo Form Six Anayosoma Anapata Wapi Muda Wa Kuwa Na Simu Muda Wote?
Wadau Hasa Wataalam Wa Saikolojia Nipeni Ushauri Wenu Nimfanyaje HUYU MTOTO ili Alizike Na Asinitafute Tena Maana sitaki Kumuharibia Future Yake Japo Denti Nae Sio Haba Najua Hapo Tambaza Anakimbiza sana Hata Hao Maticha Wake. Nipeni Ushauri Wakuu...

Kumbe na wewe unamtamani?
Hebu nijibu kwanza nani alimuanza mwenzake kumpa lifti?halafu nenda kapokee zawadi utupe mrejesho ilikuaje ndipo tukushauri.
 
Kumbe una gari eeenh....cha kushangaza hapa JF kila mtu ana gari na kila mtu ana elimu ya chuo kikuu.dah,aiseee.
 
Rafiki huyo Ni mkubwa, Tena amekwambia ana zawadi yako, nenda kachukue hiyo zawadi...
 
Jibu unalo halafu unatutega, kama vipi
fanya kama. Unavofikiria kufanya...
 
block her number that the best u can do, else u will sleep with her
 
Hujatufunga kamba kweli hapa?, alichukua b/card yako kwa siri!, hapa kuna walakini
 
Wewe kamtafune tu,me kuna mmoja wa form 4 ameniletea swaga hzo,nikamwambia aje gheto,nimemtafuna mpaka nyeg.e zikamuisha
 
Una mdogo wako wa kike? Njia yenye upotofu mara almost zote hupata washabiki wengi. Hao wanaokushauri umtafune binti asiyejitambua wanakupeleka jehanamu. Sikutaka kutoa ushauri nikawaza nikaona nisipotoa maana yake ushauri utakaopata ni wa kusupport uzinzi na mimi nitaulizwa siku ya mwisho. So imebidi nisign up nikuonye. Ukisikia utaokoka, usiposikia mimi sitahukumiwa maana nimetimiza wajibu wangu. Utaangamia wewe na wote wanaokushauri uovu. Uwe na siku njema.
 
Unaogopa zawadi ya papuchi?Kweli Mungu anampa upele asiye na kucha ili asiweze jikuna!Huyu alistahili sasa kawa karudishwa kati hata mara 7
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom