Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Kwani ukiacha kupokea simu zake (kama huna mpango naye) utapoteza nini?
 
We susa lakin kaa ukijua wako wanaomfumua kila siku.Dent anataka kulipa fadhila ya lifti kwa kukupatia papuchi we hutaki?
 
hahaaa form six mbona mkubwa hivyo, kula vitu ww alafu sepa asikugande.
 
Unataka aridhike......saikolojia yako inatema unataka umgegede.
 
Hadi sasa kuna story za washkaji kama 6 hivi kuhusiana na huyo mtoto , wengine aliwaomba namba, wengine waliomba namba àkawapa baada ya lift.Nahisi huyo binti atakuwa aidha agent wa kuzimu au anakaeneza kale kaugoñjwa cha kinga.

My advice: Sikiliza moyo wako
 
Unanyota ya jela,usithubutu kumpigia itakua ushahidi,atageuza kesi kua umemtongoza utaishia pabaya,acha hizo habari,aibu haipo mbali
 
Yaan vijana wasikuhizi badala yakuomba ushauri kwa mambo ya msingi kama biashara n.k. Eti binti wa form 6 ananisumbua naomba ushauri nifanyaje...pumvaaav.
 
Kudadeki mtoto wa kike mdogooo anakupelekesha mtu mzima hadi unakuja kuomba ushauri na akikukamata sasa si ndo utajimurder.... Huyo denti akomae hivo hivo make kishakuelekeza qibla soon atakuchinja

Kuna mwandiko nikishauona tu najua chenga!

Hasa hasa huu wa kila neno kuanza na herufi kubwa.
 
Nilimpa lifti ya usafiri asubuhi moja hivi kwa lengo la kumuwahisha skuli sasa imekuwa " nongwa " kwangu kwani siku aliyopanda gari langu, alikuta business card yangu kwenye kiti akaichukua kwa siri na kuitunza kwa begi yake. Sasa baada ya muda wa siku kadhaa ameanza kunisumbua kuwa anataka kuonana na mimi kwani ana zawadi yangu anataka kunipa.

Mwnzoni nilimpotezea lakini sasa amekuwa hasikii wala haambiliki kwani muda wote ananisumbua hewani mpaka najiuliza hiyo form six anayosoma anapata wapi muda wa kuwa na simu muda wote?

Wadau hasa wataalam wa saikolojia nipeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtoto ili alizike na asinitafute tena maana sitaki kumuharibia future yake japo denti nae sio haba najua hapo tambaza anakimbiza sana hata hao maticha wake.

Nipeni ushauri wakuu.
Acha Ufala and wacha kutuona sisi ni mazumbukuku!!!!

WEWE ULIPOKUWA UNAMPA LIFTI HUKUONA KWENYE SEAT KUNA KITU?!!!! AU ULIWEKA HAPO KIMAKUSUDI KABISA UKIFAHAMU KWAMBA ATAICHUKUA AANZE KUKUTAFUTA?????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom