Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Hebu muulize anaitwa nani na babake anaitwa nani, yani akupe full details halafu ...ulitaje huku huenda huku kuna ndugu zake/ wazazi wake...wataenda kumfundishia nyumbani nahic utakua ushamuepuka.
 
Labda mtoa mada anania ya dhati na amejaribu njia za kumuepuka ameshindwa. Ss kuomba ushauri ni sawa koz anaona anazidiwa saikolojia na huyo mtoto ni vyema mkampa experience za kuwaeskapu maform six hatujui elimu ya mtoa mada labda kazidiwa elimu na huyo dogo kitu kinachomfanya asijue ni mbinu gani aitumie.
Kuwa mwanamme,mvulana kumiliki gari kote huku hakumfanyi yy kutotegwa na mtoto wa FM six msichana anayejua nini anafanya , wakti gani na kwa lengo gani.

Inawekana huyo fm 6 ashapiga malengo ya mbali sana na huyo jamaa bila kuculculate the risks involved hivyo hatoacha kusumbua unless jamaa apate njia mujarabu.
Pia mtoa mada ungekutana na huyo fm6 sehemu ya public umsikilize na pia umueleze hatari ya jambo analotaka iwapo ni mahusiano.

Watu wengi humu Wanasapoti uovu just hautokei ktk familia zao.

Binafsi nina ndugu mwanafunzi ameshawishika na mahusiano ikapelekea mpaka kuacha shule yaani inaniuma sana ukizingatia nilijitolea kumsapoti but more importantly najua maisha yalivyo bila msingi wa elimu.
 
Nakushauri kaka one day na wewe utakuwa na watoto watakuwa kama hivyo cha msingi jua kabisa utakavyofanya ndo utakavyofanyiwa.
kwa kuwa na we ni mzazi jaribu kuvaq ujasiri mshinde Shetani.haya mambo hayana mshahara.
 
Una mdogo wako wa kike? Njia yenye upotofu mara almost zote hupata washabiki wengi. Hao wanaokushauri umtafune binti asiyejitambua wanakupeleka jehanamu. Sikutaka kutoa ushauri nikawaza nikaona nisipotoa maana yake ushauri utakaopata ni wa kusupport uzinzi na mimi nitaulizwa siku ya mwisho. So imebidi nisign up nikuonye. Ukisikia utaokoka, usiposikia mimi sitahukumiwa maana nimetimiza wajibu wangu. Utaangamia wewe na wote wanaokushauri uovu. Uwe na siku njema.
cha ajabu mtu kaomba ushauri wengi wanamchallange
pia mpeni mtu ushauri mzuri.
kaka naunga mkono ushauri wako dunia ni mpito.
 
Nitumie number yake haraka. Ukisha nitumia hiyo number muache mtoto wa watu asome. Utafungwa
 
Unaogopa zawadi ya papuchi?Kweli Mungu anampa upele asiye na kucha ili asiweze jikuna!Huyu alistahili sasa kawa karudishwa kati hata mara 7
Huu ndio ushauri unaotakuwa,huyo mtoto atakuwa ana matatizo kwao pengine kwa kuwa ameona una gari ndio maana anakusumbua.Kaa nae umsisitize ajijenge na ajiwekee msingi katika elimu yake badala ya kupokea ushauri wa kuharibu
 
Nilimpa lifti ya usafiri asubuhi moja hivi kwa lengo la kumuwahisha skuli sasa imekuwa " nongwa " kwangu kwani siku aliyopanda gari langu, alikuta business card yangu kwenye kiti akaichukua kwa siri na kuitunza kwa begi yake. Sasa baada ya muda wa siku kadhaa ameanza kunisumbua kuwa anataka kuonana na mimi kwani ana zawadi yangu anataka kunipa.

Mwnzoni nilimpotezea lakini sasa amekuwa hasikii wala haambiliki kwani muda wote ananisumbua hewani mpaka najiuliza hiyo form six anayosoma anapata wapi muda wa kuwa na simu muda wote?

Wadau hasa wataalam wa saikolojia nipeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtoto ili alizike na asinitafute tena maana sitaki kumuharibia future yake japo denti nae sio haba najua hapo tambaza anakimbiza sana hata hao maticha wake.

Nipeni ushauri wakuu.


Unatupotezea muda, wanasaikolojia hatufanyagi hizo kazi na nilijua tu ungemaliza uzi kwa jinsi ulivyomaliza. Dah! Wanaume wenzangu wamekuwa wepesi mno siku hizi yani hata kabla kichwa kidogo hakijapi** ubongo, macho na moyo vishapi** siku nyingi!! Mkuu kama hata hili umeshindwa sasa naamini ni kwa nini vyeti vinakaguliwa na hata wale wanaotakiwa kukaguliwa.
 
Nilimpa lifti ya usafiri asubuhi moja hivi kwa lengo la kumuwahisha skuli sasa imekuwa " nongwa " kwangu kwani siku aliyopanda gari langu, alikuta business card yangu kwenye kiti akaichukua kwa siri na kuitunza kwa begi yake. Sasa baada ya muda wa siku kadhaa ameanza kunisumbua kuwa anataka kuonana na mimi kwani ana zawadi yangu anataka kunipa.

Mwnzoni nilimpotezea lakini sasa amekuwa hasikii wala haambiliki kwani muda wote ananisumbua hewani mpaka najiuliza hiyo form six anayosoma anapata wapi muda wa kuwa na simu muda wote?

Wadau hasa wataalam wa saikolojia nipeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtoto ili alizike na asinitafute tena maana sitaki kumuharibia future yake japo denti nae sio haba najua hapo tambaza anakimbiza sana hata hao maticha wake.

Nipeni ushauri wakuu.


Unatupotezea muda, wanasaikolojia hatufanyagi hizo kazi na nilijua tu ungemaliza uzi kwa jinsi ulivyomaliza. Dah! Wanaume wenzangu wamekuwa wepesi mno siku hizi yani hata kabla kichwa kidogo hakijapi** ubongo, macho na moyo vishapi** siku nyingi!! Mkuu kama hata hili umeshindwa sasa naamini ni kwa nini vyeti vinakaguliwa na hata wale wanaotakiwa kukaguliwa.
 
Nilimpa lifti ya usafiri asubuhi moja hivi kwa lengo la kumuwahisha skuli sasa imekuwa " nongwa " kwangu kwani siku aliyopanda gari langu, alikuta business card yangu kwenye kiti akaichukua kwa siri na kuitunza kwa begi yake. Sasa baada ya muda wa siku kadhaa ameanza kunisumbua kuwa anataka kuonana na mimi kwani ana zawadi yangu anataka kunipa.

Mwnzoni nilimpotezea lakini sasa amekuwa hasikii wala haambiliki kwani muda wote ananisumbua hewani mpaka najiuliza hiyo form six anayosoma anapata wapi muda wa kuwa na simu muda wote?

Wadau hasa wataalam wa saikolojia nipeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtoto ili alizike na asinitafute tena maana sitaki kumuharibia future yake japo denti nae sio haba najua hapo tambaza anakimbiza sana hata hao maticha wake.

Nipeni ushauri wakuu.
Si umkule tuu mkuuu,kula hata na utumbooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom