Huyu mwanafunzi atanipeleka Jela

Huyu mwanafunzi atanipeleka Jela

Na Kwanini ukampa fursa kukuzowea kiasi hicho? Yani mwanafunzi anakuandikia barua wewe mwalimu na wewe huchukui uamuzi wowote? Pole sanaaaaaa...

Mwalim alikuwa JK Nyerere tuu. hawa wengine mateacher! ambao wanaweza kuteach kitu chochote.
 
Kusex Na dent ni kosa la kimaadili sio la kiaheria.

Wekeni hapa sheria hiyo.
Iwe sospa act au marriage act
 
Kusex Na dent ni kosa la kimaadili sio la kiaheria.

Wekeni hapa sheria hiyo.
Iwe sospa act au marriage actn
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chunga tamaa mbaya. Mchukulie kama mdogo wako na umsahihishe kumjengea maisha yake ya baadaye. Ukikatumia akili itakapofunguka atakudharau na heshima kwako haitokuwepo.
 
Ile mada chokozi sana, kuna msemo mimi naukubali unasema 'kama hukuoa bikira umeoa mke wa mtu'

mmh! mi nachamba koo sasa iyo mada ilichefua roho yangu
 

Attachments

  • 1427660638066.jpg
    1427660638066.jpg
    2.4 KB · Views: 321
Wewe kweli ni mwalimu na unamaadil ya ualim kwel waweza kushndwa kamtego kadogo kma ako?Bas watakiwa kustaafu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom