Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Acha uongo hata kwa huyo jamaa yako wa nje tatizo ni wewe,eti unasingizia mambo ya kimungu-mambo ya kimungu ndio yapi ulishindwa kubadili dini hadi mnapanga kuoana hayo mambo ya kimungu hamkuyaweka sawa??.

Siwezi fungua code mkuu ila amini ni mambo ya kimungu
 
Ndoa uliikimbia mwenyewe at the firs date na chris kwa kujifanya una online lover!by now chris hana imani na wew tena japo anakupenda but ulimuumiza kwa tamaa zako za kutaka kuolewa ughaibuni!kazana kumpa utamu na mauno ya kutosha ili angalau apooze moyo otherwise you're a bitch to him until further notice!
 
Huyu kijana tulidate kama miezi 2 tu nikamuacha tumwite chris,, sababu nilikuwa na mpnz wangu ambae alikuwa nnje ya nchi kwa wakati huo… sikupanga kumcheat ni ile tu sikuwa na uhakika na huyo mpnz wangu wa nnje ya nchi maana hatukuwai kuonana live ilikuwa ni mahusiano ya mtandaoni

Kwa kipindi hicho sikuwa na mahusiano yoyote zaidi ya huyo mwanaume wa nnje ya nchi…. Kama unavojua mwanamke na mwanaume wakikaa pamoja sumaku huvutana

Kwa kipindi hiko sikuwa nampenda yoyote kati yao maana sikuzingatia… ukaribu na chris tukajikuta nimempa tunda, hilo jambo nilijutia sana kwasababu sikuwa nikimpenda halafu jamaa sijui ndio akazama kwangu, akaanza kuwa msumbufu mpk kukeraa,, nikamdanganya nina ujauzito wake ili tu nile pesa ake kweli kaka akajitoa sana kwa harakaharaka ndani ya hiyo miezi 2 nilishatumia zaidi ya laki 9 ( alinitengenezea bima, account ya benk kila mwezi anaweka laki 2 hii ilikuwa kwaajili ya maandalizi ya kujifungua alisema niwe natunza nilipokea miezi2 tu)

Baada ya miezi 2 nikamwambia mimba imetoka jamaa alilaumu sana akisema nimetoa ila mimi nilikazana imetoka basi bhn nia ilikuwa ni kumuacha ili nibaki na mwanaume wangu wa siku zote maana alionesha malengo japo hatukuwai kuonana… nilifanikiwa kumuacha yule kaka( chris) japo alikuwa king’ang’anizi

Mpnz wangu wa nnje alirudi tukaonana na mipango ikaendelea na alikuwa akinipenda sana but kama mnavojua mipango si matumizi yule kaka sipo nae tena( siwezi kuelezea kilichotokea maana nitafungua code ila hatuna mahusiano kabisa kabisa) ila hatukuachana kwasababu za usaliti au uongo ni sababu za kimungu tu

Kwa sasa nimerudi kwa chris japo mguu pande kwasababu sijamuamini kiivo… kuna jambo alimwambia rafiki yake kwamba mimi alinifumania jambo ambalo sio kweli na nimeshangaa ni kwanini amemwambia rafiki ake hivyo kwamba alinipigia simu usiku akasikia sauti ya mwanaume anauliza naongea na nani( jamaani wananchi ilo jambo ametunga si kweli)

Sasa nimewaza huyu jamaa sio kwamba karudi kulipa kisasi kwangu nilivyomuacha
Mimi nilimuacha kwasababu ana akili za kitoto mfano akipiga simu upokee hapo hapo kama hupokei atapiga hata mara 20 mpk nikawa naogopa ukipikea sasa zinaanza lawama hii hali ya kulaumiwa kila siku nikaichoka yaani tuna miezi 2 ila kama miaka ndio ikapelekea nimuache

Kilichonirudisha kwake ni kwakuwa sina mtu ninaemuelewa kwa sasa then nimeona kama yeye ananipenda japo mimi still nasuasua

Ila sasa hivi amekuwa bahili hata vocha ni kusumbuana… anachosema mimi sieleweki kigeugeu ili aniamini anataka tuzae mtoto

Wakuu ushauri kuhusu huyu mtu nifanyaje
Olewa binti wacha umalaya.
 
Motivation speaker hao tumewazoea mbona, Hakuna jipya 🤣🤣🤣🤣

Siku nyingine unimention kwenye vitu vya maana sawa?? 😜
😂😂😂😂
We mjinga sana Unataka kuniua nimechoka mpaka nimepaliwa na Soda.
 
Namlaumu au nampa ushauri?? Kwan we umeumia wapi?? We ndo mleta uzi??
Nimekuuliza swali kutokana na post yako maswala ya kuumia yanatoka wapi
Yaani umwambie atadate na wanaume 50 alafu wa 51 na kuna sehemu ukasema wanaume 100 ila wa 101 ndo atamuoa huu si ushauri hata siku moja
 
Km
Tulionana Halafu huwezi amini huyo ndio mwanaume ambae alinipenda kuliko wote yaani mno yule kaka Kama ingekuwa ni uwezo wangu ningemrudisha,,, mkuu inauma Sanaa mno hii hali inanifanya niwe mnyonge sana ila amini kwamba tulidumu 3 years na tulionana Sanaa
Achq ngonjera siziso na maana..kama alikupenda kwa Nini hajakuoa?huyu alikuwa anasuuza rungu tu kama walivyo wanaume wengine
 
Back
Top Bottom