Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Nimekuuliza swali kutokana na post yako maswala ya kuumia yanatoka wapi
Yaani umwambie atadate na wanaume 50 alafu wa 51 na kuna sehemu ukasema wanaume 100 ila wa 101 ndo atamuoa huu si ushauri hata siku moja
🤣🤣🤣🤣 kumbe huo ushauri ndio umekuchoma?? Sasa kwann unaulizwa swali kwa id nyingine na majibu unakuja kujibu kwa id nyingine?? Mnatuchanganya watoa ushauri 😂
 
🤣🤣🤣🤣 kumbe huo ushauri ndio umekuchoma?? Sasa kwann unaulizwa swali kwa id nyingine na majibu unakuja kujibu kwa id nyingine?? Mnatuchanganya watoa ushauri 😂
Na Wewe ni Mama ushauri au Mshereheshaji?
 
Hivi ndoa ya serikali nikitaka kufunga inaweza kuwa ya siri yaani nijue mimi na mtu wangu bila mashahidi wenginee… maana kwa kazi yake kwasasa bado muda
Mara hutotaja sababu muda kidogo unatiririkatu. Vipi unaweza kufa na jambo moyoni kweli?
 
🤣🤣🤣🤣 kumbe huo ushauri ndio umekuchoma?? Sasa kwann unaulizwa swali kwa id nyingine na majibu unakuja kujibu kwa id nyingine?? Mnatuchanganya watoa ushauri 😂
Unaakili ndogo sana
Alafu jambo usilopenda wewe kulifanya usipende wengine wafanye

Nimekuuliza uko tayari kumzalia mwanaume ambaye huna hisia naye umekataa mda huo huo unamtuhumu mleta uzi una akili ndogo sana
 
Unaakili ndogo sana
Alafu jambo usilopenda wewe kulifanya usipende wengine wafanye

Nimekuuliza uko tayari kumzalia mwanaume ambaye huna hisia naye umekataa mda huo huo unamtuhumu mleta uzi una akili ndogo sana
Acha kutusumbua kuja na id mbilimbili, we km vipi kuwa nao wote hao wanaume!!!
 
kusumbuana… anachosema mimi sieleweki kigeugeu ili aniamini anataka tuzae mtoto
emoji3064.png
Hapa tumia akili zako vizuri
 
Usipende kujifariji huo uzi sio wangu
Unaakili fupi sana aisee huyo mwanaume wako kazi anayo
Unaakili tu za kuvukia barabara
Akili yako inawaza wanaume tu?? Haya wachukue wa dunia nzima uishi nao ww mwenye akili nyingi za kuvukia bahari 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom