Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

Huyu kijana tulidate kama miezi 2 tu nikamuacha tumwite chris,, sababu nilikuwa na mpnz wangu ambae alikuwa nnje ya nchi kwa wakati huo… sikupanga kumcheat ni ile tu sikuwa na uhakika na huyo mpnz wangu wa nnje ya nchi maana hatukuwai kuonana live ilikuwa ni mahusiano ya mtandaoni

Kwa kipindi hicho sikuwa na mahusiano yoyote zaidi ya huyo mwanaume wa nnje ya nchi…. Kama unavojua mwanamke na mwanaume wakikaa pamoja sumaku huvutana

Kwa kipindi hiko sikuwa nampenda yoyote kati yao maana sikuzingatia… ukaribu na chris tukajikuta nimempa tunda, hilo jambo nilijutia sana kwasababu sikuwa nikimpenda halafu jamaa sijui ndio akazama kwangu, akaanza kuwa msumbufu mpk kukeraa,, nikamdanganya nina ujauzito wake ili tu nile pesa ake kweli kaka akajitoa sana kwa harakaharaka ndani ya hiyo miezi 2 nilishatumia zaidi ya laki 9 ( alinitengenezea bima, account ya benk kila mwezi anaweka laki 2 hii ilikuwa kwaajili ya maandalizi ya kujifungua alisema niwe natunza nilipokea miezi2 tu)

Baada ya miezi 2 nikamwambia mimba imetoka jamaa alilaumu sana akisema nimetoa ila mimi nilikazana imetoka basi bhn nia ilikuwa ni kumuacha ili nibaki na mwanaume wangu wa siku zote maana alionesha malengo japo hatukuwai kuonana… nilifanikiwa kumuacha yule kaka( chris) japo alikuwa king’ang’anizi

Mpnz wangu wa nnje alirudi tukaonana na mipango ikaendelea na alikuwa akinipenda sana but kama mnavojua mipango si matumizi yule kaka sipo nae tena( siwezi kuelezea kilichotokea maana nitafungua code ila hatuna mahusiano kabisa kabisa) ila hatukuachana kwasababu za usaliti au uongo ni sababu za kimungu tu

Kwa sasa nimerudi kwa chris japo mguu pande kwasababu sijamuamini kiivo… kuna jambo alimwambia rafiki yake kwamba mimi alinifumania jambo ambalo sio kweli na nimeshangaa ni kwanini amemwambia rafiki ake hivyo kwamba alinipigia simu usiku akasikia sauti ya mwanaume anauliza naongea na nani( jamaani wananchi ilo jambo ametunga si kweli)

Sasa nimewaza huyu jamaa sio kwamba karudi kulipa kisasi kwangu nilivyomuacha
Mimi nilimuacha kwasababu ana akili za kitoto mfano akipiga simu upokee hapo hapo kama hupokei atapiga hata mara 20 mpk nikawa naogopa ukipikea sasa zinaanza lawama hii hali ya kulaumiwa kila siku nikaichoka yaani tuna miezi 2 ila kama miaka ndio ikapelekea nimuache

Kilichonirudisha kwake ni kwakuwa sina mtu ninaemuelewa kwa sasa then nimeona kama yeye ananipenda japo mimi still nasuasua

Ila sasa hivi amekuwa bahili hata vocha ni kusumbuana… anachosema mimi sieleweki kigeugeu ili aniamini anataka tuzae mtoto

Wakuu ushauri kuhusu huyu mtu nifanyaje
Kuna wanawake mnateseka sana na mapenzi.

Anyway ngoja tusikilize upande wa Chris
 
Huyu kijana tulidate kama miezi 2 tu nikamuacha tumwite chris,, sababu nilikuwa na mpnz wangu ambae alikuwa nnje ya nchi kwa wakati huo… sikupanga kumcheat ni ile tu sikuwa na uhakika na huyo mpnz wangu wa nnje ya nchi maana hatukuwai kuonana live ilikuwa ni mahusiano ya mtandaoni

Kwa kipindi hicho sikuwa na mahusiano yoyote zaidi ya huyo mwanaume wa nnje ya nchi…. Kama unavojua mwanamke na mwanaume wakikaa pamoja sumaku huvutana

Kwa kipindi hiko sikuwa nampenda yoyote kati yao maana sikuzingatia… ukaribu na chris tukajikuta nimempa tunda, hilo jambo nilijutia sana kwasababu sikuwa nikimpenda halafu jamaa sijui ndio akazama kwangu, akaanza kuwa msumbufu mpk kukeraa,, nikamdanganya nina ujauzito wake ili tu nile pesa ake kweli kaka akajitoa sana kwa harakaharaka ndani ya hiyo miezi 2 nilishatumia zaidi ya laki 9 ( alinitengenezea bima, account ya benk kila mwezi anaweka laki 2 hii ilikuwa kwaajili ya maandalizi ya kujifungua alisema niwe natunza nilipokea miezi2 tu)

Baada ya miezi 2 nikamwambia mimba imetoka jamaa alilaumu sana akisema nimetoa ila mimi nilikazana imetoka basi bhn nia ilikuwa ni kumuacha ili nibaki na mwanaume wangu wa siku zote maana alionesha malengo japo hatukuwai kuonana… nilifanikiwa kumuacha yule kaka( chris) japo alikuwa king’ang’anizi

Mpnz wangu wa nnje alirudi tukaonana na mipango ikaendelea na alikuwa akinipenda sana but kama mnavojua mipango si matumizi yule kaka sipo nae tena( siwezi kuelezea kilichotokea maana nitafungua code ila hatuna mahusiano kabisa kabisa) ila hatukuachana kwasababu za usaliti au uongo ni sababu za kimungu tu

Kwa sasa nimerudi kwa chris japo mguu pande kwasababu sijamuamini kiivo… kuna jambo alimwambia rafiki yake kwamba mimi alinifumania jambo ambalo sio kweli na nimeshangaa ni kwanini amemwambia rafiki ake hivyo kwamba alinipigia simu usiku akasikia sauti ya mwanaume anauliza naongea na nani( jamaani wananchi ilo jambo ametunga si kweli)

Sasa nimewaza huyu jamaa sio kwamba karudi kulipa kisasi kwangu nilivyomuacha
Mimi nilimuacha kwasababu ana akili za kitoto mfano akipiga simu upokee hapo hapo kama hupokei atapiga hata mara 20 mpk nikawa naogopa ukipikea sasa zinaanza lawama hii hali ya kulaumiwa kila siku nikaichoka yaani tuna miezi 2 ila kama miaka ndio ikapelekea nimuache

Kilichonirudisha kwake ni kwakuwa sina mtu ninaemuelewa kwa sasa then nimeona kama yeye ananipenda japo mimi still nasuasua

Ila sasa hivi amekuwa bahili hata vocha ni kusumbuana… anachosema mimi sieleweki kigeugeu ili aniamini anataka tuzae mtoto

Wakuu ushauri kuhusu huyu mtu nifanyaje
Anataka KULIPA KISASI

ALAFU MTU KAMA HUMPENDI ACHANA NAYE KUKAA SINGLE SIYO DHAMBI
 
tumia ile pesa alokua anakupea,,sasa kam ulikula bata jidanganye uzae
 
Umezingua sana...we mwenyewe umerudi kwa ajili ya benefits zako tuu niko upande wa Chris atakalo amua ni sawa ...swala la tabia za kitoto kama wewe uliona hivyo ulikua na potential kubwa ya ku build up relationship....sasa kote unaona cheche unakuja kuomba ushauri hivi kichwani upo vizuri kweli?
 
Huyu kijana tulidate kama miezi 2 tu nikamuacha tumwite chris,, sababu nilikuwa na mpnz wangu ambae alikuwa nnje ya nchi kwa wakati huo… sikupanga kumcheat ni ile tu sikuwa na uhakika na huyo mpnz wangu wa nnje ya nchi maana hatukuwai kuonana live ilikuwa ni mahusiano ya mtandaoni

Kwa kipindi hicho sikuwa na mahusiano yoyote zaidi ya huyo mwanaume wa nnje ya nchi…. Kama unavojua mwanamke na mwanaume wakikaa pamoja sumaku huvutana

Kwa kipindi hiko sikuwa nampenda yoyote kati yao maana sikuzingatia… ukaribu na chris tukajikuta nimempa tunda, hilo jambo nilijutia sana kwasababu sikuwa nikimpenda halafu jamaa sijui ndio akazama kwangu, akaanza kuwa msumbufu mpk kukeraa,, nikamdanganya nina ujauzito wake ili tu nile pesa ake kweli kaka akajitoa sana kwa harakaharaka ndani ya hiyo miezi 2 nilishatumia zaidi ya laki 9 ( alinitengenezea bima, account ya benk kila mwezi anaweka laki 2 hii ilikuwa kwaajili ya maandalizi ya kujifungua alisema niwe natunza nilipokea miezi2 tu)

Baada ya miezi 2 nikamwambia mimba imetoka jamaa alilaumu sana akisema nimetoa ila mimi nilikazana imetoka basi bhn nia ilikuwa ni kumuacha ili nibaki na mwanaume wangu wa siku zote maana alionesha malengo japo hatukuwai kuonana… nilifanikiwa kumuacha yule kaka( chris) japo alikuwa king’ang’anizi

Mpnz wangu wa nnje alirudi tukaonana na mipango ikaendelea na alikuwa akinipenda sana but kama mnavojua mipango si matumizi yule kaka sipo nae tena( siwezi kuelezea kilichotokea maana nitafungua code ila hatuna mahusiano kabisa kabisa) ila hatukuachana kwasababu za usaliti au uongo ni sababu za kimungu tu

Kwa sasa nimerudi kwa chris japo mguu pande kwasababu sijamuamini kiivo… kuna jambo alimwambia rafiki yake kwamba mimi alinifumania jambo ambalo sio kweli na nimeshangaa ni kwanini amemwambia rafiki ake hivyo kwamba alinipigia simu usiku akasikia sauti ya mwanaume anauliza naongea na nani( jamaani wananchi ilo jambo ametunga si kweli)

Sasa nimewaza huyu jamaa sio kwamba karudi kulipa kisasi kwangu nilivyomuacha
Mimi nilimuacha kwasababu ana akili za kitoto mfano akipiga simu upokee hapo hapo kama hupokei atapiga hata mara 20 mpk nikawa naogopa ukipikea sasa zinaanza lawama hii hali ya kulaumiwa kila siku nikaichoka yaani tuna miezi 2 ila kama miaka ndio ikapelekea nimuache

Kilichonirudisha kwake ni kwakuwa sina mtu ninaemuelewa kwa sasa then nimeona kama yeye ananipenda japo mimi still nasuasua

Ila sasa hivi amekuwa bahili hata vocha ni kusumbuana… anachosema mimi sieleweki kigeugeu ili aniamini anataka tuzae mtoto

Wakuu ushauri kuhusu huyu mtu nifanyaje
niwe mkweli mimi nilikuwa kama chris wako, nilikuwa muasherati na hata baada ya ndoa nikawa mzinzi sana. hapo ulipo jua kuwa unazini na adhabu yake ni moto wa milele, ukifa sasaivi unaenda motoni moja kwa moja, shida ni kwamba haujui utakufa lini, leo, usiku huu, kesho au lini, umejiandaaje? unabahatisha maisha uishi kwa bahati nasibu kwamba nikiishi basi nisipoishi basi wakati Mungu amekupa uzima ambao ni opportunity ya kupanga na kuchagua?

kuna siku Mungu alinifunulia hicho nilichokiandika hapo juu, nikaogopa sana, nikapiga magoti nikatubu dhambi zangu, nikajiunga na wokovu na kuwa mwokovu hadi kesho na kuendelea, sitaacha wokovu. ndio maana nakuandikieni hata ninyi, sio kwamba nahukumu bali nawashauri muache michezo hiyo. pamoja na dhambi hizo za uasherani, Mungu anakuona, ila ameandaa njia ya wokovu kwa Yesu Kristo, alimwaga Damu ili ukitubu akusamehe uzinzi wake wote, ila kama hautatubu utabaki na dhambi zako na ukifa ni motoni moja kwa moja. mwogope Mungu, Yusufu alisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa namna hii? dhambi ya sirini uzinzi ambao hata angefanya asingejulikana ila akajua Mungu anamwona amtendeje Mungu anayemuona kila kitu dhambi ya uzinzi ile? kwanini umsaliti Mungu anayekuona tangu unavua ngua hadi uchafu wote, dharau gani hizo kwa Mungu aliyekukataza usifanye hayo na wewe bado unafanya tena kwa makusudi? tumaini lako ni nini hapo ulipo?

TITO 2:11 inatuaburu kuukataa ubaya natamaa za dunia,na tuach euovu, INASEMA: Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; 12 nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; 13tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; 14ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.

Amua leo, okoka, ama la hukumu ipo juu yako. UFUNUO 14:13 INASEMA: Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

usidanganywe na mapadre na wachungaji wanaosema ukifa wataiombea maiti yako nayo itasamehewa dhambi. Mungu amekupa nafasi ya kutengeneza mambo yako ungali hai, ukifa ndio deadline yako ya kutubu, hapo juu Biblia inasema ukifa utaenda na matendo yako. sehemu zingine anasema baada ya kufa ni hukumu. baada ya kufa sio kutubu, unatubu vipi sasa wakati maisha yako ya hapa duniani yameisha? na kama nafasi hiyo ingekuwepo Mungu asingesema tusifanye dhambi kwasababu angejua hata tungefanya siku tunakufa ndugu zetu huwa wanahuzunika sana lazima tu wangetutubia dhambi badala yetu. lakini sio hivyo, hata waombe na kufukiza uvumba namna gani huwezi kusamehewa baada ya kifo, nafasi yako ya kutengeneza na Mungu imekoma, matendo yako utaenda nayo, utahukumiwa nayo. hapa ndipo penye hekima na busara ya watakatifu, wewe unayetaka kuwa mtakatifu pambana kuyakimbia makanisa ya aina hiyo yanayofundisha watu kuwa watawazika vizuri kwa kuwaombea, hayo ya katoliki na mengine, ni uongo wa shetani, ndio maana mmeshikwa masikio mnaogopa mapadre na wachungaji kama nini kwasababu mnaogopa nani atawazika, kwani mkiliwa na mamba au simba nani atawazika? mkiungua moto au kupotea na ndege hewani nani atawazika? akili zenu zimeenda wapi ndugu zangu. Mwogopeni Mungu, tubuni mkaiamini Injili ya kweli, nanyi mtapata kipawa cha Roho Mtakatifu awaongoze muishi maisha matakatifu ili mkaurithi uzima wa milele, ama la hukumu ya Mungu ipo juu yenu. Heshima na utukufu kwa Mwanakondoo wa Mungu, Kwa Jina la Yesu!
 
Kinacho kusumbua hadi kurudi kwa Chris ni umalaya wako na kupenda vya bure, huna lolote singo maza mtatajiwa wewe... Hata huyo wa nje kakuacha kwasabab ya umalaya na kupenda pesa... Utakufa

Samaleko shehk
 
huon mwenzio anataka mtoto?pia inamaanisha anataka ndoa pia ni wew kujiongeza!kama kwako ndoa bado hata hayo mahusiano hayana maana zaid ya uzinzi na kuwa ombaomba!

Kwa wakati huo alikuwa na 23 angeoa nani angemruhusu…. Sijazungumzia suala la ndoa kwasababu najua wakati wake haujafika na mtu wa kuoa anajulikana dear
 
niwe mkweli mimi nilikuwa kama chris wako, nilikuwa muasherati na hata baada ya ndoa nikawa mzinzi sana. hapo ulipo jua kuwa unazini na adhabu yake ni moto wa milele, ukifa sasaivi unaenda motoni moja kwa moja, shida ni kwamba haujui utakufa lini, leo, usiku huu, kesho au lini, umejiandaaje? unabahatisha maisha uishi kwa bahati nasibu kwamba nikiishi basi nisipoishi basi wakati Mungu amekupa uzima ambao ni opportunity ya kupanga na kuchagua?

kuna siku Mungu alinifunulia hicho nilichokiandika hapo juu, nikaogopa sana, nikapiga magoti nikatubu dhambi zangu, nikajiunga na wokovu na kuwa mwokovu hadi kesho na kuendelea, sitaacha wokovu. ndio maana nakuandikieni hata ninyi, sio kwamba nahukumu bali nawashauri muache michezo hiyo. pamoja na dhambi hizo za uasherani, Mungu anakuona, ila ameandaa njia ya wokovu kwa Yesu Kristo, alimwaga Damu ili ukitubu akusamehe uzinzi wake wote, ila kama hautatubu utabaki na dhambi zako na ukifa ni motoni moja kwa moja. mwogope Mungu, Yusufu alisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa namna hii? dhambi ya sirini uzinzi ambao hata angefanya asingejulikana ila akajua Mungu anamwona amtendeje Mungu anayemuona kila kitu dhambi ya uzinzi ile? kwanini umsaliti Mungu anayekuona tangu unavua ngua hadi uchafu wote, dharau gani hizo kwa Mungu aliyekukataza usifanye hayo na wewe bado unafanya tena kwa makusudi? tumaini lako ni nini hapo ulipo?

TITO 2:11 inatuaburu kuukataa ubaya natamaa za dunia,na tuach euovu, INASEMA: Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; 12 nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; 13tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; 14ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.

Amua leo, okoka, ama la hukumu ipo juu yako. UFUNUO 14:13 INASEMA: Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

usidanganywe na mapadre na wachungaji wanaosema ukifa wataiombea maiti yako nayo itasamehewa dhambi. Mungu amekupa nafasi ya kutengeneza mambo yako ungali hai, ukifa ndio deadline yako ya kutubu, hapo juu Biblia inasema ukifa utaenda na matendo yako. sehemu zingine anasema baada ya kufa ni hukumu. baada ya kufa sio kutubu, unatubu vipi sasa wakati maisha yako ya hapa duniani yameisha? na kama nafasi hiyo ingekuwepo Mungu asingesema tusifanye dhambi kwasababu angejua hata tungefanya siku tunakufa ndugu zetu huwa wanahuzunika sana lazima tu wangetutubia dhambi badala yetu. lakini sio hivyo, hata waombe na kufukiza uvumba namna gani huwezi kusamehewa baada ya kifo, nafasi yako ya kutengeneza na Mungu imekoma, matendo yako utaenda nayo, utahukumiwa nayo. hapa ndipo penye hekima na busara ya watakatifu, wewe unayetaka kuwa mtakatifu pambana kuyakimbia makanisa ya aina hiyo yanayofundisha watu kuwa watawazika vizuri kwa kuwaombea, hayo ya katoliki na mengine, ni uongo wa shetani, ndio maana mmeshikwa masikio mnaogopa mapadre na wachungaji kama nini kwasababu mnaogopa nani atawazika, kwani mkiliwa na mamba au simba nani atawazika? mkiungua moto au kupotea na ndege hewani nani atawazika? akili zenu zimeenda wapi ndugu zangu. Mwogopeni Mungu, tubuni mkaiamini Injili ya kweli, nanyi mtapata kipawa cha Roho Mtakatifu awaongoze muishi maisha matakatifu ili mkaurithi uzima wa milele, ama la hukumu ya Mungu ipo juu yenu. Heshima na utukufu kwa Mwanakondoo wa Mungu, Kwa Jina la Yesu!

Nilikuwa huko mkuu walokole wakanitenda sasa sitaki mwanaume wa kujifanya mlokolee nataka mwanaume mcha Mungu
 
Back
Top Bottom