Huyu mkaka jamani lol

Huyu mkaka jamani lol

Nimeliona akiwa amevaa body tight

Uliposema tu huwa unamsadia issue za TRA nikajua kilicho kufanya umpende ni baada ya kuona bank statement yake ilivyo nona!

Haya siju six pack ni nyongeza tu ahahahaha
 
Hahahahahaha lol!!!! If it does not fit you must acquit...Tangu partner wangu Karucee PIC aanzishe ule uzi na kumuweka BAK basi imeshakuwa shida lol!!!!



wajitetea tuu ila unahusika hapa looh heheheheeee
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha lol!!!! If it does not fit you must acquit...Tangu partner wangu Karucee PIC aanzishe ule uzi na kumuweka BAK basi imeshakuwa shida lol!!!!


Hivi hiyo PIC ni nini? Partner-in-crime? Yaani Karucee ni PIC wako:smile-big:?

Mdada anatishaaaaaaaaaaaaa. Hongera BAK.

 
Last edited by a moderator:
LoL!!! hunitakii mema weye!!!! umeshajipa hongera na wewe maana katika PICs waliotajwa nawe ulikuwemo...Ni aje bana? hahahahah lol!!!



Hivi hiyo PIC ni nini? Partner-in-crime? Yaani Karucee ni PIC wako:smile-big:?

Mdada anatishaaaaaaaaaaaaa. Hongera BAK.

[/FONT][/SIZE]
 
Last edited by a moderator:
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.

I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.

Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.

Six pack..kwani anakujaga kifua wazi?
 
kama umeamua kuutendea haki moyo wako, do that ila hapo pa kuacha tabia yake sahau!!! Kama ni tabia yake hawezi kuiacha mpokee alivyo au bakini kaka na dada tu

people change ww usikalili kila anepanda daladala maskini
 
ww tupa ndoano tu kwani kitu gani bwanah ,u never kow
 
Hahahah! Monica u shuld've told me buddy, why exposing here..??
Nway, msg recvd.. 2mrw i travel, wen return gonna dscus!
 
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.

I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.

Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.

jamani mtu mwenyewe malaya
 
Back
Top Bottom