peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,168
Hivi mkoani huwa ni wapi hasa!???????
haaa, nimecheka sana. lol
Hivi mkoani huwa ni wapi hasa!???????
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
hivi kitambi ni one pack?
hivi kitambi ni one pack?
kuna staili nyingi za kutongoza na hapo ndio ushatongozwa hivyo
hivi kitambi ni one pack?
kuna staili nyingi za kutongoza na hapo ndio ushatongozwa hivyo
Hivi mkoani huwa ni wapi hasa!???????
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
Tall, dark. Sounds like someone I have been taking to bed with me in my dreams.
Huyo wa kwako yukoje? Mwembamba? Mweusi sana ama chocolate?
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!! Mzima weye!? 🙂🙂
Hivi Partner unajua like zingine ni za uchokozi? Umelike nini sasa hapo.ama ushanistukia?
Haha. Haswaa. Kumamae.
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
Hapa nasikia harufu ya fumanizi.....
Hilo tumbo lake umelionaje wewe mtoto wa kike hadi ukajua limegawanyika mara sita???
matatizo ya screen touch!??
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.