FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Ooh kumbe.Tarasimu si ni sehemu ya ibada ya dini husika?
Hizo vitu anaenda navyo vikaongezewe nguvu huko
Hodari sana wewe kwa tafsiri ya Kingereza.
Ooh kumbe.Tarasimu si ni sehemu ya ibada ya dini husika?
Hizo vitu anaenda navyo vikaongezewe nguvu huko
Bado hujasema.ANgalia klip hiyo uone katajwa nani na yuko wapi
Usiniulize maswali mimi
Bado hujasema.Mie tena kwa mimi muumini wa allah na matalasimu? 🤣
Uarabuni pia katika uislamu viashiria vyovyote wa uchawi adhabu yake ni kifo.Sasa huko uarabuni mbona kashikwa na matalasimu yake
mama amefungua nchi.Ilikuwaje huyu akaachiwa apite pale kwa kambarage?
askari kampa makavu nae quran anaijua 😂😂
Na serikali imetuwezea hapo tu. Hakuna kubadilisha Lugha ya kufundishia iwe english mwanzo mwisho. Huwenda huyu jamaa angejieleza vizuri na kuachiwaKiingereza chetu sasa!
Halafu mwenye dini mwenyewe hana sijdahHapo kakutana na mwenye dini
Anamtoa nishai
Ova
Ile sijdah zinapatikana vipi mbona wenye dini zao hawana?Halafu mwenye dini mwenyewe hana sijdah
Waswahili wakikumbuka wameahidia wakifa katika uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajisuguaga hadi na steel wire na msasa.Ile sijdah zinapatikana vipi mbona wenye dini zao hawana?