Kabisa hawa jamaa wanaishi hovyo kabisa hawaelewani angalia jinsi princess Diana alivyofanyiwa na hii familia, halafu sasa prince Harry inebidi akimbilie Marekani. Prince Philip mme wa Elizabeth II (baba wa mfalme Charles III) alikuwa katili na mwenye dharau na ubaguzi mkubwa wa rangi. Hata malkia Elizabeth II aliishi naye kwa uvumilivu mkubwa!Huyo jamaa m'baguzi Sana. Hiyo familia ni hatari. Harry peke yake amezaliwa na roho ya utu.