Picha: Je Mfalme Charles amekosea kupokea nyaraka za Balozi Kairuki kwa mkono wa kushoto?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,305
20240322_180339.jpg

Kitendo cha Mfalme wa Uingereza, Charles III, kupokea nyaraka za kujitambulisha kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, jana kwa mkono wa kushoto kimeibua mjadala.

Mfalme Charles, ambaye hutumia mkono wa kulia, amekosea kupokea kwa mkono wa kushoto?
 
BALOZI MBELWA KAIRUKI AKIKATIZA MITAA KWA STAILI YA UTAMADUNI WA WAINGEREZA YA MAMIA YA MIAKA

Habari za balozi Mbelwa Kairuki kuwasilisha utambulisho kama mwakilishi wa Tanzania nchini Uingereza


View: https://m.youtube.com/watch?v=dC6j_ko-isk
Tanzania High commissioner Mbelwa Kairuki presents his credentials to a King during a private audience at Buckingham Palace (Jonathan Brady/PA)
 

Kitendo cha Mfalme wa Uingereza, Charles III, kupokea nyaraka za kujitambulisha kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, jana kwa mkono wa kushoto kimeibua mjadala.

Mfalme Charles, ambaye hutumia mkono wa kulia, amekosea kupokea kwa mkono wa kushoto?
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.
 
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.

Wewe umeyalalamikia ya elimu? Unafikiri yanahusu kila Mtanzania? Nitag kwa Uzi zako.
 
Back
Top Bottom