Vipi akikutana na Biden huwa anampa salam au kitu kwa mkono huo huo au?
Nisome nini, hiyo ni picha tu.Soma uelewa jisha jibu, usitoe maelezo unayoyaelewa mwenyewe!.
aliyesemaga mkono wa Kushoto sio sawa ni mpumbavu kuwahi kutokea dunianiView attachment 2941435
Kulia ni balozi wenu mpya wa uingereza Mh.Mbelwa Kairuki akikabidhi hati za utambulisho kwa Mfalme.
Ni mgonjwa SI ulisikia ana cancer?View attachment 2941435
Kulia ni balozi wenu mpya wa uingereza Mh.Mbelwa Kairuki akikabidhi hati za utambulisho kwa Mfalme.
Hakuna mkono ambao sio sahihi, ni desturi tu.Vipi akikutana na Biden huwa anampa salam au kitu kwa mkono huo huo au?
Maana sisi watu tunaotumia maleft sometimes hujisahau sana kuwa tunatumia mkono ambao sio sahihi kwenye jamii. So mtu mungine akiona hivyo atahisi umemdharau.
Ni mtu na mtuwe, mke na mume.Ni mgonjwa SI ulisikia ana cancer?
Hivi Mbelwa Kairuki na Angel Kairuki ni ndugu?
Duuh kumbe jamaa ndio anamiliki Ile Mali? Hongera zake.Ni mtu na mtuwe, mke na mume.