Huyu member AshaDii yupo wapi?


Uwepo wako tu hapa jf unatosha, mimi nilihisi labda umesahau password ya kuingilia jf.😀😀
 

Kweli aisee. Nilimpenda sana huyu mtu. Nimemiss sana huyu, wapi RUSSIAnroulette
 
Last edited by a moderator:
aisee...lini tena hiyo mkuu?
sorry kumbe upo mkuu? kuna siku nilitania watu kuonana physical watu wakasema humu hata uka rest watu hwawez jua wakatolea mfano ww, sema umekua kimya sana boss
 
sorry kumbe upo mkuu? kuna siku nilitania watu kuonana physical watu wakasema humu hata uka rest watu hwawez jua wakatolea mfano ww, sema umekua kimya sana boss

Pengine labda walichanganya tu majina ya ID mkuu....

Hahahaha...hawakawii kuandika tena mzuka wa Watu8 umeibuka JF...(kidding)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…