Huyu mdudu mnamwitaje kikwenu (kilugha)?

Huyu mdudu mnamwitaje kikwenu (kilugha)?

Kwa Kule Newala Anajulika Kwa Jina La "NABOBO".

Nb: Ushauri Wangu Kwake, Apunguze Kidogo Size Ya Mzigo Kama Anayapenda Maisha Yake.
Kweli asee huyu mdudu anafanyiaga sif dadeki unaweza umkute anazigo karibu la kilo moja!!
 
KALIPUMBA=> siunajua tena tabia ya kurudi nyuma...kwetu Sumbawanga kirando
 
Kweli asee huyu mdudu anafanyiaga sif dadeki unaweza umkute anazigo karibu la kilo moja!!
Ujue Me Nilijua Viumbe Vipendavyo Sifa Ni Binadamu Tu, Ila Kumbe Hata Wadudu Wapo Pia.
 
Kuna watu wenye tabia ya mdudu huyu.ni king'a ng'anizi kweli.hata mzigo uwe mkubwa kiasi gani yeye huona ni saizi yake !haambiliki ndilo jina lake kule nilikozaliwa.
 
Anabimbilisa kinyume nyume.

Halafu kidonge cha MAVI kikubwa.

Huu Ulimwengu una maajabu sana
 
Back
Top Bottom