Huyu mdudu mnamwitaje kikwenu (kilugha)?

Huyu mdudu mnamwitaje kikwenu (kilugha)?

Dung%20Beetle%20lifecycle.jpg
Kumbe ni nyumba ya kuhifadhia mtoto lakini hapo baadae hiyohiyo ni chakula anakula tena!![emoji3] [emoji3]
 
Huyu ni mdudu maarufu sana kwa jina kamili hua silijui ila kwa lugha maarufu ni mbimbirisa mavi!!ana uwezo wa kutembeza huo mzigo kwa zaidi ya kilomita 3.kama kuna anaemjua zaidi atupe historia yake!!View attachment 419482
Nachojua anaweza sukuma mzigo Mara 100 ya uzito wake. Kama una 80kg INA maana ungesukuma zaidi ya 8000kg au hata 8ton
 
Kwa Kule Newala Anajulika Kwa Jina La "NABOBO".

Nb: Ushauri Wangu Kwake, Apunguze Kidogo Size Ya Mzigo Kama Anayapenda Maisha Yake.
 
Basi inaonekana mizunguko yako haikufika baadhi ya maeneo
Yaa huenda maana kuna vijiji vingine hata gari halipiti na wakazi wa huko wakiona gari wanajificha!!
 
Back
Top Bottom