MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Ni mbunge wa viti maalumu Mbeya (CCM) na mkiti wa kamati ya bunge ardhi. Leo akiwasilisha maoni ya kamati yake kama kawa kaanza na kushukuru hadi panya wa nyumani mwake na kisha familia yake: kawashukuru watoto wake lakini hajamshukuru mumewe. Je mbunge huyu mdada ni mjane au alizalishwa kwa uzinzi au hata sasa mbunge huyu uzinzi ni fani yake??