Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
DUU NIMEPATA NENO JIPYA-'FLOCCINAUCINIHIPIFICATION' something insignificant of or of little value
ninadhani hili ni neno refu zaidi [25 words] kwenye lugha ya kingereza.
DUU NIMEPATA NENO JIPYA-'FLOCCINAUCINIHIPIFICATION' something insignificant of or of little value
yesu kristu nimeelewa maneno mawili tu...
Muiteni Prof Mapumba tufanye comparison
Ni jina la dawa aina ya kutibu akili.DUU NIMEPATA NENO JIPYA-'FLOCCINAUCINIHIPIFICATION' something insignificant of or of little value
ninadhani hili ni neno refu zaidi [25 words] kwenye lugha ya kingereza.
bila kumsahau mkuu PAUL selgio de souzcc Wababe wetu JF wa "ngeli" za malkia Nyani Ngabu & Kiranga
Ujinga ujinga tu wetu watu weusi ,akiongea professor wa kizungu maneno rahisi hata form tuliotoka saint kayumba tunamuelewa ,hawa wa kwetu sifa nyingi msaada sifuri.Huu in uprofesa uchwara. Who were his audience?.What is the point kuongea lugha ngumu to that level wakati Ujumbe wenyewe in kiduchu tu
Mh Mr. Bigman: kila neno alilolitumia lina maana kwa kila Mmarekani aliyempigia kura Trump. Hakuna maneno mbadala Prof angetumia kuwakilisha ujumbe wake kwa hao waliomchagua Trump.Huu in uprofesa uchwara. Who were his audience?.What is the point kuongea lugha ngumu to that level wakati Ujumbe wenyewe in kiduchu tu
Huyu anatafuta sifa, hakuwa na nia ya kutaka wasiotumia lugha hiyo waelewe
limenikumbushia mwalimu wangu wa o levelDUU NIMEPATA NENO JIPYA-'FLOCCINAUCINIHIPIFICATION' something insignificant of or of little value
ninadhani hili ni neno refu zaidi [25 words] kwenye lugha ya kingereza.
si kwa kiinglish hikibila kumsahau mkuu PAUL selgio de souz
ATAKUWA amedatahuyu mkenya ana matatizo, asitushirikishe kwenye taabu zake. na ajipange maana Trump ana hasira na wakenya
yesu kristu nimejua maneno mawili tu...
usicheke kiongozi dohHaha haaaa mbavu zangu