mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
wewe hawala yake ulikosa???Angerudisha zile nyumba za serikali alizowauzia kimagumashi ndugu zake na mahawala zake ningemuona wa maana.
wewe hawala yake ulikosa???Angerudisha zile nyumba za serikali alizowauzia kimagumashi ndugu zake na mahawala zake ningemuona wa maana.
hayo matako wanayoHe is gone now...mnasubiri nn kuibua ufisadi wake?
Alimpa mama yako, ndio maana toka huyo bwana wa mama yako afe umevurugwa.wewe hawala yake ulikosa???
Lilikuwa ni zaidi ya Ibilisi.Yule mbwa?
Heri limekufa kabisa..bure kabisa lile
hayo ni mambo yenu nyinyi wake wenza.Alimpa mama yako, ndio maana toka huyo bwana wa mama yako afe umevurugwa.
Pole wewe kwa kumlilia shetwani.hayo ni mambo yenu nyinyi wake wenza.
mimi mtoto wa wa mnufaika hayanihusu.pole mjane
Mahakama na mwenyewe Mwendazake wameshindwa kuwathibitisha hao unaosema ni mafisadi.Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.
Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.
Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.
Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm
fisadi ni kama shoga,ni vigumu kulithibitisha mahakamani.Mahakama na mwenyewe Mwendazake wameshindwa kuwathibitisha hao unaosema ni mafisadi.
Pengine uende wewe sasa ukathibitishe.
Mkuu hayo ya ushoga ni mawazo yako na uzoefu wako.fisadi ni kama shoga,ni vigumu kulithibitisha mahakamani.
ndio maana utaratibu wa mahakama zao ukaanza kuandaliwa.
Mkuu hayo ya ushoga ni mawazo yako na uzoefu wako. Miaka mitano , MITANO, FIVE YEARS, hakna watu wenye akkili kuthibitisha ufisadi wa mtu, Conclusion , roho mbaya za watu ati kwa nini fulani kafanikiwa.
Jinga weweMbona Pro Assad alipoibua ufisadi wa 1.5b alitumbuliwa kabla ya muda wake kustaafu huyo mtu aliogopa nini kumfuatilia huo ufisadi kama sio yeye ndio anahusika
eti eh!!!Mkuu hayo ya ushoga ni mawazo yako na uzoefu wako.
Miaka mitano , MITANO, FIVE YEARS, hakna watu wenye akkili kuthibitisha ufisadi wa mtu,
Conclusion , roho mbaya za watu ati kwa nini fulani kafanikiwa.
Wewe unawageukaje waimba mapambio wenzio?lakini ni bora kama japo umeweza kuhisi uwepo wa hilo, ila mengine yote hujaweza kuyaona, ukosefu wa uhuru,haki uonevu kwa misingi yakiitikadi hata ubambikiaji kwa wenyemawazo tofauti na unaowatuhumu leo. Pengine ndio unaanza kutambua maana ya malipo ni hapahapa duniani.Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.
Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.
Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.
Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm
Toa mapendekezo,ushauri wako na sio kulalama.pia ulinganifu wako tupe vigezo ulivyotumia vinginevyo hoja hiyo inaweza kupoteza nguvu kabisa na kukosa maana. Nola kusahau kuzingatia mazingira ya swami site unazozitaja.Usicheke dada, huo ndo ukweli...watu wengi wakifa vya uridhi hua havikai...unafanya alot of sucrifices, hela ya kula bata dubai or Znz unasema ngoja nifanye saving or ninunue viwaja, nijenge wanangu wapate pa kujisitiri siku za mbeleni, unagombana na madalali, mafundi, unashinda juani site...the first thing they do ukifariki wanaamua wauze kila mtu akamate chake, then pesa ya mgao wao ndo wanaendea znz or dubei...
JPM alipunguza sana safari za nje ili pesa za safari atuletee maendeleo leo mama ndani ya miezi mi5 keshampita kwa safari za nje alizofanya zote ktk kipindi cha miaka mitano( safari za nje 9-8, nje ya Africa 1-0)
JPM kutwa alikua site kuangalia miradi na kupambana na wakandarasi or yupo on road kuskiliza kero za wanaichi na kuzitatua on the spot...Mama yeye kutwa yupo km sio safarini basi kaalikwa Sehem. Kifupi ni km anakula bata.
We lead by example, yy akiwa hivyo ht watu wa chini yake watafanya the same, na hatakua na moral authority ya kuwakanya.
Kweli hata mti ukikatwa baada ya siku nyingi huchipuka.Nyakati nzuri hujirudia tusikate tamaa tutapata mwingne
Mungu wetu anasikia machozi yetu yanaishia mioyoni ni wengi wanaomlilia kimya kimya
Kama nakuelewa kuwa pia hata hiyo system kwa sasa ipo corrupted, hivyo hiwezi kwenda na top leadership kutokana na kuwa na matawi mengi yasoeleweka.The truth ia bo body cares about you. Aliekuja after nyerere didnt care nyerere alileta uhuru, aliekuja after mkapa.. hakujali mkapa kafanya nini? The chains goes on.
Tatizo lake yeye alizani anaweza piga one man show. Kwenye corporate leadership hakuna kitu kama hiko. Lazima uwe na supporting system ya kueleweka.
Mungu anakusikia! Hakumtuma mtu duniani awaonee wenzake, ndio maana aliamua amrudishe!Hakika mtu huyo alikua ni mjumbe wa Mungu.
Laana kum.Nyakati nzuri hujirudia tusikate tamaa tutapata mwingne
Mungu wetu anasikia machozi yetu yanaishia mioyoni ni wengi wanaomlilia kimya kimya
Kwa kuhoji hayo mahela akaambiwa ETI anajifanya nae ni muhimili.Mbona Pro Assad alipoibua ufisadi wa 1.5b alitumbuliwa kabla ya muda wake kustaafu huyo mtu aliogopa nini kumfuatilia huo ufisadi kama sio yeye ndio anahusika