Huyu kiongozi kama angelijua CCM iko hivi asingelifanya juhudi kusaidia taifa lake

Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.

Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.

Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.

Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm
Ndiyo maana 2025 inatuhusu wote
 
Nyuki ingieni kwenye Nzinga wa babu mtileteeni asali babu, watoto, wajukuu na vitukuu tule.
 
Usicheke dada, huo ndo ukweli...watu wengi wakifa vya uridhi hua havikai...unafanya alot of sucrifices, hela ya kula bata dubai or Znz unasema ngoja nifanye saving or ninunue viwaja, nijenge wanangu wapate pa kujisitiri siku za mbeleni, unagombana na madalali, mafundi, unashinda juani site...the first thing they do ukifariki wanaamua wauze kila mtu akamate chake, then pesa ya mgao wao ndo wanaendea znz or dubei...

JPM alipunguza sana safari za nje ili pesa za safari atuletee maendeleo leo mama ndani ya miezi mi5 keshampita kwa safari za nje alizofanya zote ktk kipindi cha miaka mitano( safari za nje 9-8, nje ya Africa 1-0)
JPM kutwa alikua site kuangalia miradi na kupambana na wakandarasi or yupo on road kuskiliza kero za wanaichi na kuzitatua on the spot...Mama yeye kutwa yupo km sio safarini basi kaalikwa Sehem. Kifupi ni km anakula bata.

We lead by example, yy akiwa hivyo ht watu wa chini yake watafanya the same, na hatakua na moral authority ya kuwakanya.
Jpm hakuwa anasafiri sababu ya betri kwenye moyo,sio kwamba aliamua tu,ufisadi kipindi chake ulikuwepo ila kwa wachache wanaomzunguka,na hakutoa nafasi watu kuandika ufisadi wake ,mfugale,atcl,trilion 1.5 ,
 
Nyumba za serikali kwenye maeneo nyeti kama Ohsterbay, Posta, Masaki, Mikocheni nk amegawana na marafiki zake.
Hili hujaliona?

Kiasi cha sh trn 1.5 zilikwapuliwa kwenye serikali ya mwendazake.
Hili nalo vipi?
Mzee Rugemalira alifikishwa mahakamani miaka minne iliyopita, lakini miaka yote hiyo serikali imeshindwa kupeleka ushahidi mahakamani kuthibisha kosa lake.
Maana yake kesi ni uongo.
Unataka serikali iendelee kuwakandamiza watu kwa sababu mwendazake alikuwa na chuki dhidi yao?
 
Jiwe alikua Juha alijivisha joho la uzalendo na kuanza kuwanyamazisha wapinzani wake kisiasa na kuutangazia umma anadeal na mafisadi kitu ambacho sio kweli,
Yeye mwenyewe alikua tapeli na jizi alipokua waziri wa ujenzi aliwahi gawa nyumba kwa marafiki,ndugu na mahawara wake maeneo ya Oysterbay,Upanga na masaki

Halafu alivyo juha zaidi akaanza kuwaita wenzake mafisadi wakati ndani ya chama chake akiwepo na yeye walikua wanaihujimu nchi
Ungemuuliza kipindi hicho CCM wanapitisha bajeti za kifisadi yeye alikua anazikataa?
Ila alipopata Urais akawageuka kinafiki na kuwazibia mirija ya upigaji ili apige yeye peke yake na hapo ndio chanzo cha upotevu wa matrilion ya pesa aliyoyasema
Prof Assad the CAG ila wakamnyamazisha kwa kumstaafisha kipuuzi ili asiseme madudu yao wakiongozwa na zwazwa Kimbunga Jobo na agenda yao ikatimia

Hakujawahi kutokea mzalendo wa kweli kama Mwalimu Nyerere japo naye alikua na mapungufu yake

Wengine wote wachumia tumbo tu
Mataga acheni propaganda za kumsafisha jiwe japo amakufa ila nae alikua Mzee fiksi!
 
Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.

Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.

Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.

Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm
Una maanisha yule shetani jambazi aliyefukiwa Chato!
 
Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.

Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.

Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.

Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm
Jibu haya
1. Kama alikusanya kodi mbona samia anasema hajakuta chochote mwenye chungu?
2. Kama alijenga zahati mbona tozo za miamala,samia na mwigulu wamesema wanajengea zahanati,au Ni waongo?
Ccm oyeeee!

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kifo chake kimesikitisha wanyonge wengi na wapinga ufisadi.

Juhudi zake kubwa kukusanya mapato, kudhibiti mafisadi, kujenga vituo vya afya na kuteteta wanyonge zilikuwa haziwafurahishi wanaCcm wenzake. Kumbe kwa miaka mitano alikuwa kauzibe wa mikakati yao ya kuwadhulumu na kuwanyonya wanyonge.

Leo hii mafisadi wakubwa amabao bunge la JMT lilithibitisha kuwa walituibia bil 300 na ushee wanaachiwa hovyo. Hii ni picha kuwa kiongozi huyu alikuwa anapinga ufisadi huku wenzake hawafurahii jitihada zake.

Hii ni picha mbaya sana kwa taifa linalojinasibu kupinga ufisadi chini ya mwamvuli wa Ccm

Alikuwa mshamba na boya tu. Bora alikufa mzandiki yule.

Tena kaburi lake inabidi iwekwe pingu.
 
Alikua anapigana vita ya peke yake...
hii kitu imenifanya nianze kujitazama upya the way nnavyoishi na mipango yangu...
habari ya kujibana huli goodtime ili kufanya investment za familia, siku unaondoka huku nyuma watu wanatapanya, hawakumbuki how much sucrifices you put it on to make things stand.
The truth ia bo body cares about you. Aliekuja after nyerere didnt care nyerere alileta uhuru, aliekuja after mkapa.. hakujali mkapa kafanya nini? The chains goes on.
Tatizo lake yeye alizani anaweza piga one man show. Kwenye corporate leadership hakuna kitu kama hiko. Lazima uwe na supporting system ya kueleweka.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom