Huyu kijana ni mzima kweli??

Huyo ndo ilikuwa tabia yake tok mwanzo ila coz alikuwa na
shida na room ya kupanga akaamua aje kama NGOSHA rijali!!
RUDISHA PESA YAKE KISHA TIMUA!!!

Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???

Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
 
Si amepanga tu kwako ? na analipa kodi ? na ni mtu mzima ? Maisha yake binafsi hayakuhusu huo ndio 'uswahili' unaotuharibu jali maisha yako.
Si kila ushauri unafaa mpendwa, fukuza mara moja hapo umepangisha pepo!!! :banplease:
 
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???

Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
kakaaa unajuaa mjiniii kuna mambo mengiii ya kuigaaa...kwa ushaurii mlete kijanaa tu mchunguzee kweliii ni sharobaroooo au bi....la....liii.
 
Anakutega baba mwenye nyumba mjini hapa na matumizi yamepanda, we angalia tu huyo mtoto wako wa kiume anaukaribu naye kama ndiyo poleeeeeee.............:a s 39:
 
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???

Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?

Kama anakulipa hela ya pango kila mwisho wa mwezi una shida gani?
 
Kama anakulipa hela ya pango kila mwisho wa mwezi una shida gani?

shida sio kulipa hela ya pango ndugu,problem is maadili aliyonayo huyu kijana(kama kweli!!)hayafanani na maadili ya kijana wa kitanzania.upo mkuu.
 
hapa ROSE kamaliza kila ki2 mkuu, tukiongeza zitakua mbwembwe tu......
:A S-fire1:
mhh wewe uyo ni mpangaji wako umempangisha tu na anajitegemea kwa kila kitu au ni mdogo wako au jamaa ako tu unamstiri?
km ni mpangaji achana nae ni masiha yake
km ni jamaaa yako kafikia kwako unamstiri basi KAA NAE CHIN UMWAMBIE AKUELEWE...
lakin kwa swaga izo mpaka na wanja basi uo SI USHAROBARO NI USHARAUHARO..chek vyema ata cm yake utakuta msg nzito ....
pole.
km vp mwambie akapange kwingne la sivyo watu watajua mko KAZI moja..pole...asi unajua mashoga wanavyopenda kukaaa vkund kund sjui ndo km geto vile kwao ...ahh pole once again
 
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???

Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?

umuulize kwani mwanao au nduguyo? cha muhimu kodi ikiisha mpe notice ahame kabisa mjengoni kwako, Hilo BWABWA litakuaribia watoto. hata dini zina kataza tabia hizo una dhambi ukilitimua , usijali watu watasema vp linda watoto wako kwa nguvu na akili zote ukiacha mambo yajeendee eti huyo si nduguyo umuache aendekeze libeneke lake utakuja kulia mwishoni wakati wanao wanapakatwa
 
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???

Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?

Tanga, Arusha, Kilimanjaro? I wish angetokea Kilimanjaro!
 
Mimi nafikiri kabla hujafikia uamuzi wa kumfukuza jaribu kuongea naye, tumia hekima yako, huwezi jua unaweza ukamsaidia kumtoa huko kubaya! Ikishindikana.... basi waweza kuchukua hatua ya pili!

Mi nafikiri aongee naye tu kumfahamisha kwamba ametambua mienendo yake na hafurahii... lakini kuacha kwa hawa watu inakuwa ni ngumu sana... ni sawa na kuacha dawa za kulevya... unajua kidonda kinapotaka kupona kinawasha... inabidi kikunwe, ndo walivyo... hawaachi!!

Zaidi ya yote, inategemea na umeishi naye vipi tangu aingie kwenye nyumba yako, na je ameshaleta watu wa dizaini isiyoeleweka??

Ushauri mwingine ni kwamba, usizoee kuishi kwenye compund moja na wapanjaji wako... "HESHIMA YAKO INASHUKA"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom