Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,931
Sikupata taarifa vizuri naomba msaada
hapanaSikupata taarifa vizuri naomba msaada
Hatarihapana
Mh!Abdu na Mafwala washafanya yao siku nyingi sana.
Viko wapi?Kuna vile vi clip vya watu kuninginnizwa kichwa chini miguu juu wamezungushwa overall mwili wote na kufungwa kisawa sawa!!
Aiseh!!,Ile ni deadly !!
Anaitwa Shedrack Yusuph Chaula, huyu kijana alichoma picha ya raisi wa JMT akuhukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini. Wadau wakajikusanya wakamlipia faini. Aliporudi uraiani "watu wasiojulikana" wakamnyakua, mpaka leo hajulikani alipo.Ni nani na alifanya nini?
Alipotezwa kwa amri ya Juma Homera RC wa Mbeya kama alivyofanya kwa Mdude Nyagali, Juma Homera huyu huko mbele ya Safari atakuja kujibu vifo hivi.Sikupata taarifa vizuri naomba msaada
Kuna vile vi clip vya watu kuninginnizwa kichwa chini miguu juu wamezungushwa overall mwili wote na kufungwa kisawa sawa!!
Aiseh!!,Ile ni deadly !!