Huyu kaka ana jinsia gani?

not entirely true. most religions condemn GLT which makes it hard for them to join, similarly homophobes use religion to justify ill treatment to open GLT members. churches which accept gays are few and far apart and mosques are even rarer

EDIT:
View attachment 60773 Australian Statistics 2012

source: Gay Christians in Australia

asilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
 
hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.

hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...:laugh:



I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.

Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!

Huna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.

Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
 
Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!

we ni kiboko.
 
Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.

Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.

I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.

xaxa kiranga mentioned above m2 hayupo,xaxa cbora apige mzhgoo 2 ajue 1,geniuz siyo hadi kupga mzigo hayupo teh teh labda lkn ni mazngira m2 aliyokulia ndo problem
 
Mushauri yule sister uliyemconect na ndg yako amshawishi wakutane bafuni-hapo lazima kitaeleweka hapo ndio atajua ipo active au chini kwa chini
 
asilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
 
Akiwa impotent au gay itakusaidia nini? Au na wewe ni gay unatafuta ma gay wenzako mkutane? Kwangu mimi that's the only justification, unatafuta ma gays kwa sababu na wewe gay unataka ku fraternize nao. Kama mtu mume huna interests na gays kwa nini utake kuwafuatilia kwa sana?
Yaani uanvyosema "people should be suspicious" utafikiri mtu kaiba kitu au anatuhumiwa utapeli.Kumbe mtu hajaonekana na mwanamke. Akikwambia yeye "Usalama wa Taifa" na ana siri anazochelea kuzitoa kama akiwa na mke au GF? Utamwambiaje?

Naona umedandia gari kwa mbele braza..
Haya majibu ungempa mleta thread..mimi na wewe hatumjui huyu mtu..
Nilichofanya ni ku'connect dots from what would be their worry about their brother..
Lakini hata kama ndio msimamo wako..lol! kweli maendeleo ni mzigo..better to remain poor with our tradition!
Kumbuka ndugu zake hawamuulizi maswali kwa nini huoi?..na huenda wakimuuliza atawajibu kama ulivoshauri hapa..
Ni strategy nzuri pia kwamba they should start ask him questions kwa nini huoi?
 
Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!
Kauli yako haina mantiki yoyote, nadhani umejiona kua unachemka..
Huna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.
Of coz nyoka haezi kung'ata mkia wake mwenyewe..nilitegemea jibu kama hili
Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
my true colors ni kuita spade a spade, hamna haja ya kupindishapindisha wala kukwepeshakwepesha wakati tunajua majibu.
 
vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
 
kwani kuoa ni amri?,acheni kuwa wavivu kufikiri..kwani ngono chakula? Watu wameacha kuoa saa hz michosho tu.bora kuwa single

Hakuna anaemlazimisha kuoa bwana, lakini ukiwa kama mzazi au kutokana na mamake hiyo kitu kuwa mtoto wake hajulikani anahisia gani za kiume ndio pasua kichwa maana ni mtu mzima sasa
 
ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
kuanzisha kanisa/dini sio rahisi kama udhaniavyo and its not the point. most gays were raised religiously b4 coming out, they just want to be acknowledged as members. Nobody wants separate churches/mosques for gays and straights.

You want a gay man to become a bishop!! umesahau mtafaruku uliotokea 2003 kwenye anglican church..
 
My worries is about his sexuality...sio kuoa
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?
 
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?

Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.

Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.

Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
 
Dah i wish ningekua kama yeye! Ningekua nimejenga gorofa ninge sevu hela nyingi sana.!
 
Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.

Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.

Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.

Mpaka jibu lipo wazi
ana tatizo la 'uhanithi'
na uhanithi na mtu kuwa gay ni vitu viwili tofauti..

gay anaweza ku sex na both wanawake na wanaume..

h.a.n.i.t.h.i.anaweza kuwa anapenda wanawake lakini ni mlemavu kwenye viungo
due to pschology au physical injury au kazaliwa hivyo..

ha.n.i.t.h.i sio gay
 
Dah i wish ningekua kama yeye! Ningekua nimejenga gorofa ninge sevu hela nyingi sana.!

Ungekuwa tajiri lakini pia ni hiyo mihela na magorofa yana raha gani kama huna mtu wa kukupima joto. Halafu kwenye master bedroom inaiangalia tu!
 
hapa sijui kuna nini, naona mtanage tu sioni mshindi.

Blaine, sasa gays waende kwenye kanisa linaloruhuru gays watakuwa na amani zaidi.

Haya makanisa mengine hawawakubali kutokana na katiba zao kuwa gays sio member wao.

Ni kama chama kingine chochote ambapo mnakuwa na sifa za wanaoweza kujiunga, same applies to makanisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom