Huyu kaka ana jinsia gani?

kuna rafiki yake husband pia yupo hivyo, yaani siyo gay wala straight, na kuna kipindi tulimlengeshea mdada ikashindikana, then husband akaamua kumwendea na kuzungumza naye kama kamati, jamaa akajidai hawezi kuwatokea wadada. sasa akamwambia poa, mimi nitaongea na mdada na nitamalizana naye kabisaaaaaaaaaaaaaa, nikimleta kwako ujue ashakubali kila kitu uendelee tu.
tukaongea na rafiki yangu, tukamwambia kila kitu na kwa vile yeye ni mjanja akakubali, tulipompeleka mbona tulipata aibu...... aliongea naye usiku kucha mpaka dada wa watu akasinzia na yeye akalala, asubuhi kaamka mapema. tumeamua kumwacha

Kwa nini mnawalazimisha watu waishi maisha ambayo si yao?

Huyu kaka angesema hataki kupanda daladala mgemlazimisha?
 
Kama mnampenda ndugu yenu mwacheni huru aishi kulingana na utashi wake.

Kula tano.

Hizi habari za kutaka kuingilia maisha ya mtu, mtu mzima, mtu ana uamuzi wake, mi sizielewi msingi wake ni nini kama si umbea na kujitia u busybody tu.
 
Inaonekana na nyie makhanisi kiaina, kama sivyo kwa nini mnawafuatilia sana?

kweli kabisa, huwezi kukosea kiaina... tuna tabia mbaya sana ya kufuatilia makhanithi.... bahti mbaya hawapendi tuwafuatilie na wanakua very sensitive... UKHANISI KAZI SANA, WATU WANAKUFUATILIA MNO, HALAFU UNAANZA KUJIHISI
 
Kwa nini mnawalazimisha watu waishi maisha ambayo si yao?

Huyu kaka angesema hataki kupanda daladala mgemlazimisha?
si unajua tena walimwengu tunapenda kuingilia mambo siyo yetu? tulidhani tunaokoa jahazi kumbe......................
 
si unajua tena walimwengu tunapenda kuingilia mambo siyo yetu? tulidhani tunaokoa jahazi kumbe......................

Mnaweza kuzamisha.

Mtu kama huyo hata ukimlengesha mwanamke anaweza kukaa naye au hata kuoa kwa pressure za watu, mwaka mmoja miwili kwa sababu lifestyle yake tofauti na kukaa na mwanamke wanakuwa hawapatani, wanagombana.Mume yuko kivyake vyake, mke anaona hajaliwi. Wanaachana, wote wanakuwa depressed zaidi.

Mwishowe anafunguka na kusema yote haya sababu za pressure za familia tu, mie mwenyewe hata nilikuwa sina mpango wa kuoa.

Mnachukua lawama hivi hivi.

Mwacheni aishi anavyoona sawa. Kama kuna mwanamke watakayewezana naye mtaona tu, kama maisha yake hayana mwanamke nalo si la ajabu sana.
 
Kwa nini mnawalazimisha watu waishi maisha ambayo si yao?

Huyu kaka angesema hataki kupanda daladala mgemlazimisha?

Sidhani kama ni makosa kujua hili lililoulizwa..
Na ukifuatilia sana hoja itakayokuwa inajengwa ni whether a man is impotent or a gay..
If a person acts uncommon to what is common to the society..no doubt people should be suspicious..
 
MadameX,
Kuna watu wapo hivyo,mimi nina kaka yangu wa kuzaliwa na sasa ana 50yrs (kazaliwa 1962)...ana kazi nzuri and everything in life ila hana GF wala hajawahi kuwa naye. Wala usiendelee kumlengesha kwa wanawake sanasana atakuchukia tu na uhusiano wenu utaharibika kabisa....coz anaonekana HAPENDI mahusiano na wanawake.
Izoeeni tu hiyo hali yake kama sisi tulivyoizoea hali ya ndugu yetu na maisha yanasonga.

Mmmh with that age! si kawaida kabisa
MadameX hapo mnaumiza vichwa bure, lakini mama yake ndo anajua 'siri ya mtungi', sema tu wamama wengi huwa nao wanajifanya kushangaa (huku wakijua ukweli kuwa si riziki) ili kumfichia heshima mwanae
 
Kuoa si umri. Kuoa kunatoka rohoni. Kuoa kunakotokana na pressure za ndugu, marafiki, nk hakuna maana. Maadam si mtu ambaye ana upungufu mentally, wakati ukifika ataoa. Kutokuoa pia ni choice.
 
Sidhani kama ni makosa kujua hili lililoulizwa..

Ni katika society isiyojua kuheshimu privacy ya mtu tu ndo utakuta watu wanataka kujua kama mtu ni rijali au siyo na kusema si makosa. What's next, mtataka kujua saizi ya ukuni wake?

Afadhali hao wanawake wanaweza kusema wanataka kujua kwa sababu wana interest naye, haya nyie wanaume kumchunguza mwanamme mwenzenu ndo nini sasa?


Na ukifuatilia sana hoja itakayokuwa inajengwa ni whether a man is impotent or a gay..

Akiwa impotent au gay itakusaidia nini? Au na wewe ni gay unatafuta ma gay wenzako mkutane? Kwangu mimi that's the only justification, unatafuta ma gays kwa sababu na wewe gay unataka ku fraternize nao. Kama mtu mume huna interests na gays kwa nini utake kuwafuatilia kwa sana?

If a person acts uncommon to what is common to the society..no doubt people should be suspicious..

Yeah, people with no business of their own. Ndiyo maana jamii zetu haziendelei. Badala ya kufanya shughuli za maendeleo tumekalia kuchunguzana nani gay.

Yaani uanvyosema "people should be suspicious" utafikiri mtu kaiba kitu au anatuhumiwa utapeli.Kumbe mtu hajaonekana na mwanamke.

Akikwambia yeye "Usalama wa Taifa" na ana siri anazochelea kuzitoa kama akiwa na mke au GF? Utamwambiaje?
 
jamaa bado yupo kwene closet..
na mtu yeyote anayemtetea huyu is a suspect to me too..

Kwanza kuwa kwenye closet au gay ni uamuzi wa mtu, kwa hiyo hata kama ni gay (I am not saying kwamba jamaa ni gay, hata kama) ni maisha yake kaamua. Kuanza sana kumfuatilia kwa sababu yeye ni gay kunaonyesha unapenda ma gay na possibly wewe ni gay hata kama subconsciously. Watu wengi sana wanaojifanya kupinga ma gay wamekuja kukutwa wao wenyewe ni ma gay pia.

Na kuona mtu kutetea mtu kuishi maisha anayotaka "ni suspect" kuna reveal ulivyozama katika a narrowminded culture ya kutoelewa kwamba duniani kuna watu tofauti na so long as mtu hajakuingilia kwenye anga zako, mwache awe anavyopenda.

Hizi habari za kutaka kila mtu awe kama wewe ni matokeo ya ushamba na kukulia katika jamii masikini ambazo hazijui dunia ya kijiji cha pili inaendaje.
 
Bora aendelee kua hivyo wanawake wana cost tuuu... Bora atumie
Hela yake kutoa kanisani na kwenye shuhuli mbalimbali za kimaendeleo na pia ana avoid magonjwa pia.. Nina wish ningekua ka yeye.. Ningekua mbali sana
 
Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?

mabwaku itabidi umwambie huyo shostuto wako amvulie nguo aone yaani ambake kama vipi..
 
Kwanza kuwa kwenye closet au gay ni uamuzi wa mtu, kwa hiyo hata kama ni gay (I am not saying kwamba jamaa ni gay, hata kama) ni maisha yake kaamua. Kuanza sana kumfuatilia kwa sababu yeye ni gay kunaonyesha unapenda ma gay na possibly wewe ni gay hata kama subconsciously. Watu wengi sana wanaojifanya kupinga ma gay wamekuja kukutwa wao wenyewe ni ma gay pia.

Na kuona mtu kutetea mtu kuishi maisha anayotaka "ni suspect" kuna reveal ulivyozama katika a narrowminded culture ya kutoelewa kwamba duniani kuna watu tofauti na so long as mtu hajakuingilia kwenye anga zako, mwache awe anavyopenda.

Hizi habari za kutaka kila mtu awe kama wewe ni matokeo ya ushamba na kukulia katika jamii masikini ambazo hazijui dunia ya kijiji cha pili inaendaje.
bwahahaaa..at least nimepruv kitu, maana haidhuru mja ambaye hii habari haimhusu akatokwa povu hivi...
 
bwahahaaa..at least nimepruv kitu, maana haidhuru mja ambaye hii habari haimhusu akatokwa povu hivi...

Proof is a heavy word, kama una prove kirahisi rahisi hivi, no wonder unakuwa na medieval thinking hivi.
 
Sidhani kama ni makosa kujua hili lililoulizwa..
Na ukifuatilia sana hoja itakayokuwa inajengwa ni whether a man is impotent or a gay..
If a person acts uncommon to what is common to the society..no doubt people should be suspicious..

ukhanithi ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani
 
Back
Top Bottom