[/B]
Kuweni wavumilivu watanzania, Rais wenu hana experience kwenye post yake ya sasa, hajawahi kuwa Rais before kwahiyo on job training haiwezi kukwepeka hapa!
Habari zaidi endelea hapa
"Vitisho vya kitoto" vya aina hii ungeweza kuvitarajia kutoka kwa kiranja wa darasa kule shule ya msingi,kwamba "atakayeendelea kupiga kelele nitamwandika,au kumtaja kwa mwalimu..." lakini sio kwa kiongozi wa nchi tuliyempa wadhifa wa urais.Kwahiyo akishatutajia hadharani kifuatie nini?Tuawazomee?Tuwapige mawe?Au TAKUKURU ndio waamke usingizini kuwachunguza?Hivi huyu mtu hana mtu anayemsaidia kuandaa hotuba zake?Anyway,pengine atakapoamua kutaja hao wanaogawana miradi atatutajia pia na wala rushwa alodai anawafahamu lakini anawapa muda wa kujirekebisha.Kaaazi kwelikweli
Susuviri unajuaje kuwa alikua 'anapayuka'? na alikua hasomi speech iliyoandaliwa? Labda hapo speech writer wake ndo kajipinda kikwelikweli na mkuu mwenyewe akaona iko bomba?
Habari zaidi endelea hapa
"Vitisho vya kitoto" vya aina hii ungeweza kuvitarajia kutoka kwa kiranja wa darasa kule shule ya msingi,kwamba "atakayeendelea kupiga kelele nitamwandika,au kumtaja kwa mwalimu..." lakini sio kwa kiongozi wa nchi tuliyempa wadhifa wa urais.Kwahiyo akishatutajia hadharani kifuatie nini?Tuawazomee?Tuwapige mawe?Au TAKUKURU ndio waamke usingizini kuwachunguza?Hivi huyu mtu hana mtu anayemsaidia kuandaa hotuba zake?Anyway,pengine atakapoamua kutaja hao wanaogawana miradi atatutajia pia na wala rushwa alodai anawafahamu lakini anawapa muda wa kujirekebisha.Kaaazi kwelikweli
Baada ya kusikia tafsiri mbali mbali nimekuwa na wasiwasi na JK kama kweli ameisha fanya vya kutosha ningeomba tuweze kuweka mazuri aliyoweza kufanya mpaka sasa hivi maana najua pamoja na kwamba inaonekana kulemewa na mzigo kuna ambayo kidogo amejitahidi kulingana na uwezo wake.
La kwanza kabisa ninaloliona waziwazi ni suala la majambazi wale wa sinza ambalo lilipelekea kukamatwa kwa akina afande zombwe. Hili suala alionekana kufaulu vizuri.
Suala la Pili aliloweza kufaulu ni suala la majambazi yaliyokuwa yametanda kila mahala wakati BWM akitoka madarakani. Hili suala alilishughulikia kwa makini sana na nafikiri kwa asilimia 60% aliweza kufaulu.
Suala lingine limekuwa la kuanzisha vyuo vikuu kama DODOMA university ambavyo pamoja na ukosefu mkubwa wa wafundishaji, lakini amejitahidi kuanzisha hiki chuo ambacho kitaweza kuzalisha wataalamu katika nchi hii.
Suala lingine ambalo nalo amelichukulia bango ni suala la Elimu ya Msingi ambalo pia nimeona ameweza kulifanyia kazi pamoja na kwamba pia lina matatizo makubwa sana ya ukosefu wa walimu ambalo limepelekea kuturudisha ktk kutumia walimu ambao hawakusomea fani hiyo.
Lakini pia mapungufu yanaonekana kuwa makubwa kuliko mafanikio. Masuala mengi sana inawezekana anayafahamu sana na ana ushahidi wa kutosha hila ameshindwa kufunga paka kengele. jamani mimi niliyoyajua ni kama haya ningependa pia kama kuna mazuri ambayo ameisha yafanya pamoja na kwamba kuna ambao wanasema muda bado anajifunza au anajipanga kama alivyowahi kusema waziri Mramba naomba atoe data.
Mbona sioni constructive criticism hapa? labda mkuu wa kaya katoa kauli hiyo kulingana na upeo wake (pamoja na timu yake)wa kufikiri. Tumsaidieni jamani ili next time ajue nini kinapaswa kusemwa aki encounter similar situation.
Baada ya kusikia tafsiri mbali mbali nimekuwa na wasiwasi na JK kama kweli ameisha fanya vya kutosha ningeomba tuweze kuweka mazuri aliyoweza kufanya mpaka sasa hivi maana najua pamoja na kwamba inaonekana kulemewa na mzigo kuna ambayo kidogo amejitahidi kulingana na uwezo wake.
La kwanza kabisa ninaloliona waziwazi ni suala la majambazi wale wa sinza ambalo lilipelekea kukamatwa kwa akina afande zombwe. Hili suala alionekana kufaulu vizuri.
Suala la Pili aliloweza kufaulu ni suala la majambazi yaliyokuwa yametanda kila mahala wakati BWM akitoka madarakani. Hili suala alilishughulikia kwa makini sana na nafikiri kwa asilimia 60% aliweza kufaulu.
Suala lingine limekuwa la kuanzisha vyuo vikuu kama DODOMA university ambavyo pamoja na ukosefu mkubwa wa wafundishaji, lakini amejitahidi kuanzisha hiki chuo ambacho kitaweza kuzalisha wataalamu katika nchi hii.
Suala lingine ambalo nalo amelichukulia bango ni suala la Elimu ya Msingi ambalo pia nimeona ameweza kulifanyia kazi pamoja na kwamba pia lina matatizo makubwa sana ya ukosefu wa walimu ambalo limepelekea kuturudisha ktk kutumia walimu ambao hawakusomea fani hiyo.
Lakini pia mapungufu yanaonekana kuwa makubwa kuliko mafanikio. Masuala mengi sana inawezekana anayafahamu sana na ana ushahidi wa kutosha hila ameshindwa kufunga paka kengele. jamani mimi niliyoyajua ni kama haya ningependa pia kama kuna mazuri ambayo ameisha yafanya pamoja na kwamba kuna ambao wanasema muda bado anajifunza au anajipanga kama alivyowahi kusema waziri Mramba naomba atoe data.
"Naomba: mwaka 2010 uwe mwaka wa mabadiliko jamani we cannot take more of the same"(Susuviri)
Your anguish, and that of many now is obvious, but alas, your wish under CCM cannot happen. And it is CCM definetely 2010.
To bad my compatriot!
Mama Salma awe nazo ngapi? Hujui ukiachilia Ujenzi wa South Africa humu nchini nani katumalizia cement? Na Je wajua anafanya nini? Mkubwa Ikulu ya Danganyika hata kama hujui Biashara Utafundishwa.
Huu ni utani sasa, akishatutajia so what, nilitegemea sisi ndo tumtajie a take actions, huu ni usanii sasa.