Habari zenu jaman, naombeni mnisaidie ndo mapenzi haya au mimi ndo mshamba?
Nina boyfriend amepanga na mm pia nimepanga, kila mara huwa anakuja kwangu na mara chache huwa analala lakini kila nikimwomba anipeleke ama anielekeze nikapajue anapokaa hataki ni mwaka umepita sasa sipajui kwake, nikimwambia kama hataki nikapajue kwake basi tuachane ananiambia kuwa nimepata mwanaume mwingine ndo maana namwambia tuachane na wala sijali hisia zake. Ananiambia nisijali atanialika kwake siku moja.
Jamani kuna mapenzi kweli hapa?
Nina boyfriend amepanga na mm pia nimepanga, kila mara huwa anakuja kwangu na mara chache huwa analala lakini kila nikimwomba anipeleke ama anielekeze nikapajue anapokaa hataki ni mwaka umepita sasa sipajui kwake, nikimwambia kama hataki nikapajue kwake basi tuachane ananiambia kuwa nimepata mwanaume mwingine ndo maana namwambia tuachane na wala sijali hisia zake. Ananiambia nisijali atanialika kwake siku moja.
Jamani kuna mapenzi kweli hapa?