Huyu jamaa simwelewi kbs mwenzenu

Huyu jamaa simwelewi kbs mwenzenu

Huwa muda mwingine nafanya hivyo Somji huwa tunachat na kupigiana simu usiku, na anapokuja kwangu sio mtu wa kuficha ficha simu, huwa anaziacha mezan na muda mwingine simu yake ikiita huwa ananiambia niangalie ni nani

Kama alivyosema Somji Juma ....tatizo ni hana kwake kama kwake au kama anapo basi sio pazuri mvumilie tu huyo ...au kama vp mpeleleze kwa kumfatilia kiaina siku anaposema haji kwako na anaenda kwake utapojua kwa njia hiyo
 
Na wewe exkidumu ndo uisome picha. Hapo lazma unaachwa kwenye mataa lol.Sasa kwani wewe kwenye mansion yangu nilishawahi kukukaribisha? Aisee mimi nakutreat exactly how you treat me! Yaani hata ukiweka password kwenye simu yako ujue yangu naitia loki hadi kwenye chaja! Easiest way kufikisha ujumbe!
hahaha, fanya yote. . .kwangu huna ujanja hapa! Tofali la strabag hata scania linachuna break. . .
 
kakuona wee umekaaa kimgegedo ndio maana hakupeleki kwake....siku akitaka akubwage usije leta kelele kwake.
 
Huwa muda mwingine nafanya hivyo Somji huwa tunachat na kupigiana simu usiku, na anapokuja kwangu sio mtu wa kuficha ficha simu, huwa anaziacha mezan na muda mwingine simu yake ikiita huwa ananiambia niangalie ni nani
missme basi ujue hamna tatzo zaid tu ujue hana kwake,au kwake kubaya ukifananisha na kwako,wasikupe waswasi ndugu yangu ukamuacha bure mshkaji wakat hana mtu mwngne..vumilia tu,kwasababu mnaonana...
 
Last edited by a moderator:
mwaka mzima hujui anaishi wapi?..unadanganywa mpenzi
 
Watoto wa siku hizi mnachosha sana.
mi sina mbavu hapa...mwanamke unagegedwa kitandani kwako?..so cheap ????mi bila five star hotel au kwake tena pawe panalipa sivui!
 
mapenzi ya kweli, mtu anapaswa akuambie ukwekli, na umjue vizuri. kwani kama mwanaume anaishi gheto, au umemzidi, ndo ashindwe kukupeleka kwake? the biggest possibility ni kuwa na affair zaidi ya moja.kwa nini asikuamini?
 
Habari zenu jaman, naombeni mnisaidie ndo mapenzi haya au mimi ndo mshamba?

Nina boyfriend amepanga na mm pia nimepanga, kila mara huwa anakuja kwangu na mara chache huwa analala lakini kila nikimwomba anipeleke ama anielekeze nikapajue anapokaa hataki ni mwaka umepita sasa sipajui kwake, nikimwambia kama hataki nikapajue kwake basi tuachane ananiambia kuwa nimepata mwanaume mwingine ndo maana namwambia tuachane na wala sijali hisia zake. Ananiambia nisijali atanialika kwake siku moja.

Jamani kuna mapenzi kweli hapa?


Huyo asije kuwa jambazi. Pia inawezekana ana skendo ambayo anaogopa ukifika kwake mara kwa mara watu wanaweza wakakutonya au ana wanawake kibao anaogopa mtagongana.
Halafu sie wanawake tuna viherehere, inakuwaje mwanaume hajakupeleka kwake wewe unamkaribisha kwako?
Mwambie kuanzia sasa kama anahitaji kuonana na wewe basi atafute yeye sehemu ya kukutania na sio nyumbani kwako.
 
Habari zenu jaman, naombeni mnisaidie ndo mapenzi haya au mimi ndo mshamba?

Nina boyfriend amepanga na mm pia nimepanga, kila mara huwa anakuja kwangu na mara chache huwa analala lakini kila nikimwomba anipeleke ama anielekeze nikapajue anapokaa hataki ni mwaka umepita sasa sipajui kwake, nikimwambia kama hataki nikapajue kwake basi tuachane ananiambia kuwa nimepata mwanaume mwingine ndo maana namwambia tuachane na wala sijali hisia zake. Ananiambia nisijali atanialika kwake siku moja.

Jamani kuna mapenzi kweli hapa?


ukiona manyoya jua kesha.... huyo...
stuka wewe..........
 
mzushi huyo ila kuna kitu anaepusha hapoooo so usitumie nguvu chenye mwanzo hakikosi mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom