škunywa ivyo ivyo kibishiteh teh teh
Hii chai ya bila sukari kabisa hii
ššššAkirudi tanzania anakamatwa anaenda kupimwa mkojo kisha anasomewa mashtaka
Ndio kwakuwa ni nchi mbili tofautiPhotoshop. Kuta nusu ni rangi tofauti, paa nusu ni rangi tofauti
Sio lazima, mipaka mingine ni mistari tu mfano Belgium na HollandSijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.
Ha ha ha hio nusu ni extension, kajenga baada ya mambo kuwa safiPhotoshop. Kuta nusu ni rangi tofauti, paa nusu ni rangi tofauti
Hata mm huwa najua ipo hivyo halafu nadhan ni meter 10 sikoseiSijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.
Ukaanze kupambana mtu anayeishi humo si unyanyasaji huuHAPO SASA!
Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Fedha Dkt. Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama Naibu Waziri Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kituView attachment 1022109
Ni jambo la kawaida hili mkuu? Kwa kufananisha na wapi labda?Ni jambo la kawaida hiyo kwa nchi zote duniani kuwa na nyumba katika mstari wa mpaka
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Si chai mkuuHii ni chai tena kavu bila vitafunio.. ā¹ļø[emoji34]
Si chai mkuu
InawezekanaHapana aisee, la sivyo huyo jamaa atakuwa kajenga katika eneo lisilo na mwenyewe āno manās landā.
Mipaka mingi watu huwa wanajenga bila kujua ni mpakaNi jambo la kawaida hili mkuu? Kwa kufananisha na wapi labda?