Huyu jamaa kiboko😁😁

Huyu jamaa kiboko😁😁

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
25,227
Reaction score
40,718
HAPO SASA!

Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Fedha Dkt. Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama Naibu Waziri Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kitu
FB_IMG_1550132237792.jpg
 
kwahiyo mpaka unaotenganisha bongo na kenya ni nini hapo?
 
kwahiyo mpaka unaotenganisha bongo na kenya ni nini hapo?
Sijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.
 
HAPO SASA!

Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Fedha Dkt. Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama Naibu Waziri Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kituView attachment 1022109
Panafaa kufanya ziara... Moshi je! Ruksa pia?

Jr[emoji769]
 
Sijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.
Nadhani hapatakiwi kujengwa nyumba
 
Back
Top Bottom