Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Kuringe alinunua uwanja hapo makonde toka.kwa mama hangaya. Pesa alilpolipa mama hangaya hata hajui iliishaje ishaje mil 350. Jamaa ana hela za milimani kwa.shengena same.
 
Kuringe alinunua uwanja hapo makonde toka.kwa mama hangaya. Pesa alilpolipa mama hangaya hata hajui iliishaje ishaje mil 350. Jamaa ana hela za milimani kwa.shengena same.
Nashukuru ndugu umeleta mfano halisi. Mama Hangaya kakimbilia maporini Madale karibu na Wazo Hill.

Halafu kuna yule jirani yake mwingine na Hangaya akiitwa Mzee Marandu. Naye alimuuzia nyumba Kuringe. Baada ya kuuza akarudi Rombo na kununua Fuso la kusafirisha mizigo. Gari lilipinduka naye yeye mwenyewe alifariki
 
Walikuwepo kina Alex Massawe , Papaa Msoffe ambao hata viongozi fulani na polisi waliwaweka mfukoni.
Sasa hata kupigwa picha hawataki
Kuringe ni chimbuko la Alex Massawe ni marafiki hao. Kweli historia haidanganyi sikushangaa baada ya kusikia kuringe ndio anawatisha tisha hao investors
 
Huyu Edward M. Maarufu kama kuringe 3/4 ya ardhi nzuri na viwanja vya barabarani kanunua yeye hapa dsm.

Mikocheni lile ghorofa pale lenye ATM za crdb alinunua bila sheria kufuatwa jerry slaa alikuja kumrudishia mwenye kiwanja eneo lake.

Palemikocheni jued kwenye maduka mengi na baa ndani ya.kishua alipanunua kwa document fake mwenye eneo karudishiwa na jerry.slaa ni mstaafu wa UN world health orgz.

He is real estate mafia. Akipenda eneo huwa ananunua mkishindwana atakuja.kukushinda mahakamani.

Makonde.mbezi.beach ma hall yote.ya.harusi ni.ya.kwake. Kona baa kanunua kwa.figisu za mikopo ya.aliyekuwa akimiliki kudaiwa na benki.

Ana njia.anazotumia kupaka grisi mikono ya wanaohusika na.kesi.zake

Huyu mtu.ambaye angemuweza ni jerry slaa. Ila kwa sasa.hakuna.anayemuweza
Kuringe na Alex massawe ni shida
 
Umefika wakati sasa Waziri Deo.Ndejembi tumuone.hadharani akitatua changamoto.za.ardhi huu ni mwaka wa.karibu na uchaguzi kazi lazima zionekane zikifanyikana.sio.kujificha kwenye air.condition.
Papa msofe.anataka.kuzulumu.watu.wamejenga na kuishi.over.24 yrs salasala
Papa Msofe rafiki wa Alex Massawe amerudi tena kwenye hizi ishu za unyanaanyi wa Aridhi? Du!
 
Kuringe ni Bilionea wa Kibosho mwenye fedha za manyoka!! Ana utajiri ambao hauna tija. Believe me
Namfaham vizuri huyo jamaa...ni wa kibosho maeneo fuln hivi chini ya ile shule ya msing pale kwao.. mwaka juzi alivunja ile ghorofa aliyokua amejenga ya nyumbn akajenga nyingine ya vioo na sherehe ya maana, anavunja kanisa lote anajenga lingn chap kwa gharama zake.
 
Namfaham vizuri huyo jamaa...ni wa kibosho maeneo fuln hivi chini ya ile shule ya msing pale kwao.. mwaka juzi alivunja ile ghorofa aliyokua amejenga ya nyumbn akajenga nyingine ya vioo na sherehe ya maana, anavunja kanisa lote anajenga lingn chap kwa gharama zake.
Kweli mkuu masharti yake kutoka kwa waganga wake ni kutokaa na hela. Ndiyo maana anaweza kuvunja na kujenga mara moja
 
Ukisikiliza vizuri ni kwamba maftah alikuwa na mke ambae alifariki ambae ndo alikuwa mama wa wale watoto wakubwa...Maftah amezeeka sana..mke mdogo alimshawishi wakauza plot yenye jina la mkewe marehemu na wakamuuzia kuringe na fedha kuringe aliweka kwenye akaunti ya huyo bi mdogo ambae ni mama wa Kambo wa vijana... Wale vijana wakaja juu na kwenda mahakaman kupinga mama wa Kambo kwanini kauza kiwanja Cha marehemu mama Yao...basi kwa pembeni ndo kuna huyo mwekezaji aliejenga kwa mkataba wa miaka kumi na ambae kiwanja kile alichojenga mwekezaji ndo kina jina la maftah, ndo Mzee maftah akaamua kumpa kuringe mbadala... MAANA wale vijana wataishinda tu kesi...
Na huyu mwekezaji pia atashinda tu...kupanga na kujenga Kisha baada ya miaka kumi uwekezaji unarudi kwa mwenye plot Wala sio hatari..hata NHC Kuna sehemu waliwapatia matajiri wakajenga magorofa kwa mkataba wa miaka 30 halafu nyumba inarudi kwa mwenye plot...aliejenga anakuwa amerudisha gharama zake halafu anaendelea kuwa mpangaji
Ngoiye kama unajua hilo mbona huwa unaadika ujinga huku kuhusu wawekezaji wa stand ndogo ya ArushA?

Unajua ujenzi wa jengo Liliko katikati ya stand ndogo lilogarimu 78m?
 
Tunaomba mwenye picha ya kuringe aiweke hapa, ila nadhani hii nchi inafitini wachaga sana, hii ni moja ya vita ya kiuchumi
 
Pale.sinza.hongera.baa.palikiwa.hapanunuliki kila wakija.wateja.wanachomoa kumbe kuringe alikiwa.anapataka.kanunua halafu kampangisha lake oil kajenga sheli.
 
Pale.sinza.hongera.baa.palikiwa.hapanunuliki kila wakija.wateja.wanachomoa kumbe kuringe alikiwa.anapataka.kanunua halafu kampangisha lake oil kajenga sheli.
Huku Mbezi Makonde kamnunua Jackson Swai nyumbani kwake na biashara yake ya ukumbi wa Royal Skyline. Swai kapotelea Mapinga ndiyo kafungua petrol station
 
Ifike mahali watanzania tuache makasiriko na watu wenye pesa. Kuna ubaya gani mtu kununua maviwanja?

Mahakama zipo kama kuna dhulma watu waende mahakamani. Hivyo ndo jamii ilostaarabika inapaswa kuwa. Tuachane na hizi naysaying
 
Back
Top Bottom