Huyu dada simwelewi

Huyu dada simwelewi

Huyu dada ni zaidi ya Miezi 6 tangu tumefahamiana
kiumri amenizid maana yeye ana miaka 30 na mm nna miaka 24 , maisha yake ya uchumi sio mabaya maana anafanya kaz na sio tegemezi
Tatzo ni maisha yake ya mahusiano kwa mda mrefu nimemchunguza nikagundua Hana mtu wala mtoto yuko single hata nilipomuuliza akaniambia hajapata mtu, jibu lililonipa wasiwasi maana yuko vzur kwa mwonekano
Niliamua kumtongoza sasa Leo amenipigia Simu akaniambia amekubali kuwa na mim
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin
Kwa kukaa single kipindi kirefu lazima atakuwa na sababu ya msingi. Hivyo katika mazungumzo yenu chomekea hilo swali.

Kuhusu kwa nini hakukuwa na kuzungushwa zungushwa baada ya kupeleka ombi lako... Kimsingi ipo hivi, simba hufundishwa mbinu za kuwinda lakini katu hafundishwi namna ya kula mawindo yake...
 
Ushakuwa nae kwenye urafik kwa miez 6, inatosha kwa huyo mwanamke kukukubalia uwe nae, kwahiyo sio kwamba kakubali mapema,.ila alishakuwa na jibu siku nying sema ww ndio umechelewa kumuambia kuwa unamuhitaji
 
Kwa kukaa single kipindi kirefu lazima atakuwa na sababu ya msingi. Hivyo katika mazungumzo yenu chomekea hilo swali.

Kuhusu kwa nini hakukuwa na kuzungushwa zungushwa baada ya kupeleka ombi lako... Kimsingi ipo hivi, simba hufundishwa mbinu za kuwinda lakini katu hafundishwi namna ya kula mawindo yake...
unamaanisha nin mkuu kusema Simba hafundishwi kula windo lake?
 
Ushakuwa nae kwenye urafik kwa miez 6, inatosha kwa huyo mwanamke kukukubalia uwe nae, kwahiyo sio kwamba kakubali mapema,.ila alishakuwa na jibu siku nying sema ww ndio umechelewa kumuambia kuwa unamuhitaji
Kauli yako Kama ina ukweli
 
Mkuu achana na hizo complications piga kazi mpaka akukubali
 
  • Thanks
Reactions: B49
Sema we jamaa nae unafeli!

Yani umetongoza ukakubaliwa haraka unapata wasiwasi.

Kwahiyo ulitaka uchezee kwanza vibuti vyakutosha sio?
 
  • Thanks
Reactions: B49
Kwan kukaa single mda mrefu nimakosa?

Hakuna kitu kibaya kama kuingia kweny mahusiano kw hofu y upweke.

Enter when u r ready, & sh s ready right nw
 
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin[/QUOTE]
ungejiuliza swali hilo kabla ya kumtongoza
 
  • Thanks
Reactions: B49
Kwa umri alionao ni anajitambua na nimwelewa,ndio maana hajakusumbua;ila wewe unakuwa na maswali kwa sababu umri wako ulishazoea kusumbuliwa na mabinti wa 18+
 
Ila mnaboa vijana wa kisasa, sijui mpoje vile
 
Back
Top Bottom