Huyu dada simwelewi

Huyu dada simwelewi

Range ya miaka 6 sio mbaya... Ni mwanamke anahitaji upendo... Umri usiwe kikwazo...
 
  • Thanks
Reactions: B49
inaonekana kabisa umedandia mada
Wewe ndio umedandia swali, sikukuuliza wewe sawa mkuu?

Sina shaka kuwa uwezo wako wa kufikiri unalingana na wa mtoa mada.
 
Wewe ndio umedandia swali, sikukuuliza wewe sawa mkuu?

Sina shaka kuwa uwezo wako wa kufikiri unalingana na wa mtoa mada.
unaongea na mimi au na simu ...huwezi uliza swali wakati jibu lipo kwenye mada mr mdandiaji
 
Hakikishaa Mnapimaa Ngoma mzeee...Utalamba galasaa oohooo
 
Shida ya sisi wanaume tukikataliwa tunaaza kusema mwanamke ananyodo tukikubaiwa tuna mshanga na kumdhafau
 
Back
Top Bottom