Huyu dada simwelewi

Huyu dada simwelewi

Yuko single alikwambia au unauhakika gani,,kama alikwambia unahakika gani kama ni mkweli
 
  • Thanks
Reactions: B49
Too late mkuu hayo ungeyaleta kabla, sasa ushakubaliwa nenda tu jibu utalipata hukohuko
 
  • Thanks
Reactions: B49
Huyu dada ni zaidi ya Miezi 6 tangu tumefahamiana
kiumri amenizid maana yeye ana miaka 30 na mm nna miaka 24 , maisha yake ya uchumi sio mabaya maana anafanya kaz na sio tegemezi
Tatzo ni maisha yake ya mahusiano kwa mda mrefu nimemchunguza nikagundua Hana mtu wala mtoto yuko single hata nilipomuuliza akaniambia hajapata mtu, jibu lililonipa wasiwasi maana yuko vzur kwa mwonekano
Niliamua kumtongoza sasa Leo amenipigia Simu akaniambia amekubali kuwa na mim
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin
acha utoto nini usichoelewa hapo ...
 
siku hizi waolewaji ni wengi lakini waoaji ni haba sana. Mi nadhani huyo demu kukwambia yuko single haimaanishi kwamba hana mtu hata wa kumchangamsha ila tu hajapata aliye tayari kumuona. Kwahiyo usiwaze ukamfikiria tofauti. Fuata ushauri uliopewa huko juu na uusikilize moyo wako kama umemridhia basi kila la kheri.
 
  • Thanks
Reactions: B49
Huyu dada ni zaidi ya Miezi 6 tangu tumefahamiana
kiumri amenizid maana yeye ana miaka 30 na mm nna miaka 24 , maisha yake ya uchumi sio mabaya maana anafanya kaz na sio tegemezi
Tatzo ni maisha yake ya mahusiano kwa mda mrefu nimemchunguza nikagundua Hana mtu wala mtoto yuko single hata nilipomuuliza akaniambia hajapata mtu, jibu lililonipa wasiwasi maana yuko vzur kwa mwonekano
Niliamua kumtongoza sasa Leo amenipigia Simu akaniambia amekubali kuwa na mim
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin
Acha uboya mkuu....mle tigo yake
 
hata sisi hatuelewi, kaulize ndugu zake
 
  • Thanks
Reactions: B49
Back
Top Bottom