Huyu binti wakala kahaha baada ya kuona jina la ninayemtumia pesa ni mwanamke

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,854
10,089
Huyu wakala ni jirani yangu, kila muda ninapotaka kufanya miamala ya kipesa huwa nafanyia kwenye ofisi yake

Huyu binti nadhani hana moyo wa kupenda, na sidhani kama amewahi kumuonesha mtu dalili za kumpenda licha ya uzuri wa sura na rangi aliokuwa nao. Tumempachika jina na kumuita Wakala Eunice kutokana na hali ya kukosa hisia kabisa na wanamme

Jioni ya leo nikaona wacha nijiwekee salio la tigopesa kwenye kilaini changu kipya nilichosajiliwa na mwenyekiti wa mtaa, nikamkabidhi kitita cha 12,000 anidumbukizie kwa laini. Saa ngapi jina lisije Regina Mapyumpyu! Akabaki ameduwaa na kuanza kupatwa na sintofahamu huku wateja wengine wakijaribu kuduwaa

Kwa sisi tuliosomea Cuba tumepata kuelewa kuwa kumbe binti huwa ananipenda, ni vile tu hivi viumbe vimenyimwa uhuru wa kutamka yaliyo moyoni mwao, maake sio kwa mpapatuko ule alionionesha

Mpaka sasa bado nastaajabu mahala pa kuanzia
 
Huyu wakala ni jirani yangu, kila muda ninapotaka kufanya miamala ya kipesa huwa nafanyia kwenye ofisi yake

Huyu binti nadhani hana moyo wa kupenda, na sidhani kama amewahi kumuonesha mtu dalili za kumpenda licha ya uzuri wa sura na rangi aliokuwa nao. Tumempachika jina na kumuita Wakala Eunice kutokana na hali ya kukosa hisia kabisa na wanamme

Jioni ya leo nikaona wacha nijiwekee salio la tigopesa kwenye kilaini changu kipya nilichosajiliwa na mwenyekiti wa mtaa, nikamkabidhi kitita cha 12,000 anidumbukizie kwa laini. Saa ngapi jina lisije Regina Mapyumpyu! Akabaki ameduwaa na kuanza kupatwa na sintofahamu huku wateja wengine wakijaribu kuduwaa

Kwa sisi tuliosomea Cuba tumepata kuelewa kuwa kumbe binti huwa ananipenda, ni vile tu hivi viumbe vimenyimwa uhuru wa kutamka yaliyo moyoni mwao, maake sio kwa mpapatuko ule alionionesha

Mpaka sasa bado nastaajabu mahala pa kuanzia
peleka facebook
 
Huyu wakala ni jirani yangu, kila muda ninapotaka kufanya miamala ya kipesa huwa nafanyia kwenye ofisi yake

Huyu binti nadhani hana moyo wa kupenda, na sidhani kama amewahi kumuonesha mtu dalili za kumpenda licha ya uzuri wa sura na rangi aliokuwa nao. Tumempachika jina na kumuita Wakala Eunice kutokana na hali ya kukosa hisia kabisa na wanamme

Jioni ya leo nikaona wacha nijiwekee salio la tigopesa kwenye kilaini changu kipya nilichosajiliwa na mwenyekiti wa mtaa, nikamkabidhi kitita cha 12,000 anidumbukizie kwa laini. Saa ngapi jina lisije Regina Mapyumpyu! Akabaki ameduwaa na kuanza kupatwa na sintofahamu huku wateja wengine wakijaribu kuduwaa

Kwa sisi tuliosomea Cuba tumepata kuelewa kuwa kumbe binti huwa ananipenda, ni vile tu hivi viumbe vimenyimwa uhuru wa kutamka yaliyo moyoni mwao, maake sio kwa mpapatuko ule alionionesha

Mpaka sasa bado nastaajabu mahala pa kuanzia
Alishangaa unatumaje afukuminambilliii huoni aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom