Huyu binti kanikera naomba ushauri

Huyu binti kanikera naomba ushauri

Kadiri siku zinvyokwenda usaliti wa ndoa unazidi kuwa jambo la kawaida sana. Dhamira za wengi wetu hazipo hai tena, hata roho haziumi tunavyofanya vitu vya kiovu namna hii kwa ndoa zetu, bila aibu tunaomba na ushauri kabisa namna ya kumiliki nyumba ndogo vizuri.

Mwili si wa kuuamini sana mahitaji yake na tamaa zake. lazima tujifunze ku-argue na tamaa za miili yetu. Wengi wetu tumekuwa shuleni kwa miaka takribani 20 tukinoa bongo zetu, nini faida yake kama tunatekwa na tamaa za miili teyu kirahisi rahisi? tumekua watumwa sana wa miili yetu, akili tumepewa za nini? kufikiri tumepewa kwa nini?
Usipokuwa mwaminifu kwa KIAPO cha ndoa yako, utawezaje kuwa mwaminfu kwa mengine?
 
mwache binti wa watu apate wake wa kumuoa. wewe nenda katulizane na mkeo.kwanza utkuwaje na wivu kwa vitu vya kuiba.

Mimi sina shida ila kumsaidia ni lazima, yeye angekuwa na mchumba m1 sawa. sasa wachumba wa2 na mimi wa3
 
Kadiri siku zinvyokwenda usaliti wa ndoa unazidi kuwa jambo la kawaida sana. Dhamira za wengi wetu hazipo hai tena, hata roho haziumi tunavyofanya vitu vya kiovu namna hii kwa ndoa zetu, bila aibu tunaomba na ushauri kabisa namna ya kumiliki nyumba ndogo vizuri.

Mwili si wa kuuamini sana mahitaji yake na tamaa zake. lazima tujifunze ku-argue na tamaa za miili yetu. Wengi wetu tumekuwa shuleni kwa miaka takribani 20 tukinoa bongo zetu, nini faida yake kama tunatekwa na tamaa za miili teyu kirahisi rahisi? tumekua watumwa sana wa miili yetu, akili tumepewa za nini? kufikiri tumepewa kwa nini?
Usipokuwa mwaminifu kwa KIAPO cha ndoa yako, utawezaje kuwa mwaminfu kwa mengine?

TIZED asante sana kwa ushauri na unayosema yote ni kweli lakini sisi binadamu ni wazaifu sana ninadhani unanielewa
 
Mimi sina shida ila kumsaidia ni lazima, yeye angekuwa na mchumba m1 sawa. sasa wachumba wa2 na mimi wa3
umsaidie nini?unashindwa kusaidia ndugu zako na familia yako?wewe ni king'amuzi chake kwasasa hamna zaidi.ukilikwaa gonjwa utatia akili
 
tuko wangapi?chukua hatua,ndugu yangu ilinde familia yako achana na huyu binti ili utulie na mkeo na umuepushe na UKIMWI.
 
TIZED asante sana kwa ushauri na unayosema yote ni kweli lakini sisi binadamu ni wazaifu sana ninadhani unanielewa
evelyne salt,Lara1,gfswin,kaunga mko wapi mujadili hii kitu hapa? allllah mukimya tu.....jamaahataki stress za mama watoto wake ndo maana kajichagulia kadumu ingawa kanataka kumzingua,anasema pia vijana anawaonea huruma kama wataoa kwani wao wazee wanatunza vyema halafu ndo wanakimbiliwa na hawa bi dada....akina bujibuji,Rutashobolwa,wadau watu 8,Mtambuzi kumbe hii kitu inasaidie kupunguza stress za ndanieeeee.mama akikunyima mzigoeeee
 
Nashukuru kwa ushauri niliopewa na JF and I have made up my mind huyu binti ni MALAYA na simtaki tena, ngoja aendelee na umalaya wake na mimi nimeamua kutulia na mke wangu. Nitaungama dhambi zangu na najuwa Mungu atanisamehe.

Ushauri wazee wenzangu tusihangaike na hivi vibinti ni pressure tu na kutafuta magonjwa.
 
Nashukuru kwa ushauri niliopewa na JF and I have made up my mind huyu binti ni MALAYA na simtaki tena, ngoja aendelee na umalaya wake na mimi nimeamua kutulia na mke wangu. Nitaungama dhambi zangu na najuwa Mungu atanisamehe.

Ushauri wazee wenzangu tusihangaike na hivi vibinti ni pressure tu na kutafuta magonjwa.

Kama mtu vile!na iwe kweli

Mkuu,sasa nduka original ndio huyu yule mwingine ni nduka babu mzinZi!!!!
 
Karibu sana Mkuu, Ila kukiri udhaifu ndio udhaifu wenyewe kaka. ukikiri udhaifu inakupa kitu cha kujitetea nacho kuhalalisha uovu flani ambao mwili utakutuma kuufanya. Then utasema tu sisi ni wadhaifu, na utakuwa umeridhika rohoni.

Mimi ni muumini wa kila kitu kinawezekana ukiweka nia thabiti. na huwezi weka nia mahali ukakosa njia hata mara moja.(nina expeience nayo sana) wengi tunashindwa kwa sababu ya woga wa vitu visivyojulikana na vitu vyenyewe havipo. kabla ya kuanza mtu anashindwa. Pia naamini maisha ambayo hayana changamoto (pamoja na za kimwili) ambazo napambana nazo na kuzishinda hamna cha kujivunia na kufurahia. lazima kuwe tofati kubwa sana kati ya kitu kinachofikiri na kisichofikiri.

TIZED asante sana kwa ushauri na unayosema yote ni kweli lakini sisi binadamu ni wazaifu sana ninadhani unanielewa
 
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.

we endelea kutia tu hata wew c umawako mke bado unataka vya nnje basi nayeye pia mwache apate nje anatafuta wa kumuoa bado akipata hopefuly atapunguza list
 
Karibu sana Mkuu, Ila kukiri udhaifu ndio udhaifu wenyewe kaka. ukikiri udhaifu inakupa kitu cha kujitetea nacho kuhalalisha uovu flani ambao mwili utakutuma kuufanya. Then utasema tu sisi ni wadhaifu, na utakuwa umeridhika rohoni.

Mimi ni muumini wa kila kitu kinawezekana ukiweka nia thabiti. na huwezi weka nia mahali ukakosa njia hata mara moja.(nina expeience nayo sana) wengi tunashindwa kwa sababu ya woga wa vitu visivyojulikana na vitu vyenyewe havipo. kabla ya kuanza mtu anashindwa. Pia naamini maisha ambayo hayana changamoto (pamoja na za kimwili) ambazo napambana nazo na kuzishinda hamna cha kujivunia na kufurahia. lazima kuwe tofati kubwa sana kati ya kitu kinachofikiri
a kisichofikiri.

Ni kweli kaka na nina uhakika nitamshinda shetani, ni mambo ya kishenzi sana na ninadhani Mungu kaamua kunionyesha kinyume na hapo ningekuwa naona kawaida tu.
 
Back
Top Bottom