Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Baada ya kumuona akiwa mpweke nikaamua kumpandia juu. Kama kawaida yangu ya ucheshi wa hapa na pale bila kusahau utani mwingi. Kanijibu "Mimi sio mwanamke wa hivyo, katika maisha yangu sipendi utani na ucheshi wa kijinga".
Binafsi niliona ni vyema nimuonee huruma tu kwa kuwa kati ya wale wenzake wawili aliokuwa nao, yeye ndiye mmbovu. Always black is beauty, lakini kwa uweusi aliokuwa nao ni basi tu. Hata kama angeliingia king ningeishia kucheza na hisia zake na nisimchakate hata mbususu
Kijana handsome kama mimi ninayeliliwa na wanawake kadha wa kadha hapa mtaani bila kusahau wake za watu na watoto wao ninajibiwa shit kweli!!?
Pale pale mbele yake niligeuza shingo kwa hasira kali nikasogea mbele kumtongoza mmoja kati ya hao wawili aliokuwa nao. Nimemuimbisha verses plus heavy tone na tabasamu kwa mbaaali, binti kabaki anamwaga udenda tu. Nikamalizia kwa kumwambia, "Hiyo ni tlera tu, bado movie lenyewe" nikachukua simu yake kwa swaag nikaandika namba yangu kisha nikaichum mpaka simu yenyewe. Kabaki ananitizama tu ninavyoishilia
Huyu kiswaswadu (cheusi Mangala) alilishuhudia tukio lote hilo. (Tukio ni la jana usiku )
Mida ya saa nne binti akanicall, katika mazungumzo ya hapa na pale ndipo kuja kugundua kuwa yeye na huyo Mangala ni mtu na mdogo wake
Wacha picha ianze! Mrejesho wote nitakuwa naupachika hapa
N.B Wanawake acheni kushindana na wanaume. Shwain!
Binafsi niliona ni vyema nimuonee huruma tu kwa kuwa kati ya wale wenzake wawili aliokuwa nao, yeye ndiye mmbovu. Always black is beauty, lakini kwa uweusi aliokuwa nao ni basi tu. Hata kama angeliingia king ningeishia kucheza na hisia zake na nisimchakate hata mbususu
Kijana handsome kama mimi ninayeliliwa na wanawake kadha wa kadha hapa mtaani bila kusahau wake za watu na watoto wao ninajibiwa shit kweli!!?
Pale pale mbele yake niligeuza shingo kwa hasira kali nikasogea mbele kumtongoza mmoja kati ya hao wawili aliokuwa nao. Nimemuimbisha verses plus heavy tone na tabasamu kwa mbaaali, binti kabaki anamwaga udenda tu. Nikamalizia kwa kumwambia, "Hiyo ni tlera tu, bado movie lenyewe" nikachukua simu yake kwa swaag nikaandika namba yangu kisha nikaichum mpaka simu yenyewe. Kabaki ananitizama tu ninavyoishilia
Huyu kiswaswadu (cheusi Mangala) alilishuhudia tukio lote hilo. (Tukio ni la jana usiku )
Mida ya saa nne binti akanicall, katika mazungumzo ya hapa na pale ndipo kuja kugundua kuwa yeye na huyo Mangala ni mtu na mdogo wake
Wacha picha ianze! Mrejesho wote nitakuwa naupachika hapa
N.B Wanawake acheni kushindana na wanaume. Shwain!