Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Unaweza kuta kina Temba wanajibanjulia mzigo hapo. Chezea bange weye...
Aspirin umeua ndugu yangu, du!!!
Unaweza kuta kina Temba wanajibanjulia mzigo hapo. Chezea bange weye...
Bibi machachali kweli
50CENT uko wapi tuna msanii hapa bongo!
Tena sio kupinda, bibi amenyongorota! Hv ana watoto kwel?Nilikua najiandaa kumtetea bibi cheka ila nilivyoingia ndani nakuona haya maswaga yake nikajikuta hoi.
kwa kifupi bibi amepinda.
Temba acheni kumvutisha bangi mbibi wa watu.
Lazima kuwe na tofauti ili mambo yaende na maisha yawe na ladha
mnamuona kiporo! ukute mashine yake inavuta na kupumua at the same tym! chezeiya uswazi weye!
50CENT uko wapi tuna msanii hapa bongo!
kama anakipaji ndio wamvalishe kama wao?
wanamdhalilisha huyo bibi,ndugu zake wangewakataza.
bora ufe mapema kuliko KUZEEKA VIBAYA NAMNA HII