ana matatizo ya akili.
umri wake umepishana na matendo yake.
ivi ana babu?sasa uyobabu atakuwaje?na watoto?....tmk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mi lavu temeke bana maisha sio magumu kabsaaaaaaaaaaaaaaa yan unafanya vile unapenda.....bt hao akina TEMBA wanamdhalilisha bib wa wawatu manake wanamjaza maneno na swaga ili awe km teenager kumbe yu alamsiki:embarassed2:
Huyu hakula ujana vizuri...
ana matatizo ya akili.
umri wake umepishana na matendo yake.
ivi ana babu?sasa uyobabu atakuwaje?na watoto?....tmk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mi lavu temeke bana maisha sio magumu kabsaaaaaaaaaaaaaaa yan unafanya vile unapenda.....bt hao akina TEMBA wanamdhalilisha bib wa wawatu manake wanamjaza maneno na swaga ili awe km teenager kumbe yu alamsiki:embarassed2:
Haya MadameX, wewe ni kijana niambie unakulaje ujana wako vizuri yasikukute hayo ya hicho kikongwe?Huyu hakula ujana vizuri...