Huyu bibi cheka toba!

BAGAH

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
4,523
1,060
attachment.php
 

Attachments

  • IMG_0261.JPG
    IMG_0261.JPG
    153.9 KB · Views: 1,986
kuonekana kwake kulimpa ulaji Kilimanjaro music award maana vijisenti alipata.
 
ana matatizo ya akili.
umri wake umepishana na matendo yake.

ivi ana babu?sasa uyobabu atakuwaje?na watoto?....tmk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mi lavu temeke bana maisha sio magumu kabsaaaaaaaaaaaaaaa yan unafanya vile unapenda.....bt hao akina TEMBA wanamdhalilisha bib wa wawatu manake wanamjaza maneno na swaga ili awe km teenager kumbe yu alamsiki:embarassed2:
 
ana matatizo ya akili.
umri wake umepishana na matendo yake.

ivi ana babu?sasa uyobabu atakuwaje?na watoto?....tmk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mi lavu temeke bana maisha sio magumu kabsaaaaaaaaaaaaaaa yan unafanya vile unapenda.....bt hao akina TEMBA wanamdhalilisha bib wa wawatu manake wanamjaza maneno na swaga ili awe km teenager kumbe yu alamsiki:embarassed2:

yu alamsiki...duuuh...umetisha!
 
Anaonekana ni binti mdogo tu sema pombe zimemzeesha huyu wala hana ubibi wowote....pombe noooooma!
 
Unaweza kuta kina Temba wanajibanjulia mzigo hapo. Chezea bange weye...
 
ana matatizo ya akili.
umri wake umepishana na matendo yake.

ivi ana babu?sasa uyobabu atakuwaje?na watoto?....tmk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mi lavu temeke bana maisha sio magumu kabsaaaaaaaaaaaaaaa yan unafanya vile unapenda.....bt hao akina TEMBA wanamdhalilisha bib wa wawatu manake wanamjaza maneno na swaga ili awe km teenager kumbe yu alamsiki:embarassed2:

hahahahahaha hapo kwenye red daaahh
 
kweli cha Arusha kwere, nimeamini kuna watu wananjiona wapo ulaya wakikipiga, kama wengine wanajiona mabinti
 
tehe tehe tehe tehe...ah haha haha haha kwakweli pozi la bibi limeniacha hoi,hasa ile mikono dah...ah haha haha haha...
 
Back
Top Bottom