Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Ndoa haina mwaka...so hata mtoto bado....house girl wa nini sasa?

Huyo mkeo hajielewi...
 
Nilishasema ktk maisha yangu,sitakaa nile beki 3 mpaka Dunia inaondoka! Siwezi kumdhalilisha mke wangu kwa kiwango hicho. Mtu pekee ambae naweza kula hapo nyumbani,ni mdogo wa mke wangu km akija kuishi kwangu. Ukiona unaishi na mke,halafu familia ya mkeo ikakubali mtoto wao mwingine wa kike aje aishi kwako,maana yake hiyo familia imekupenda na kukukubali na kukupa nyongeza,ukilaza damu utadharauliwa mno ukweni!!! Ha haaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha mkuu, me ndio nipo kwenye huo mtego ndugu yangu yani daah.
 
Mtie

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Umekuwa mzalendo sana kumwambia mkeo. Si wanaume wengi wanaoweza hilo.

Huyo HG ana ajenda yake. Utamaduni wa kukumbatiana hivyo ni wa ki liberali sana kwetu huko.

Mtihani wako mgumu.

Ushamwambia wife, kapotezea.

HG anakutega.

Kama kweli HG anazidi kukutega na wewe unaipenda ndoa yako, akipitisha mipaka mchimbe mkwala. Mwambie habari fulani fulani hufagilii.

Hapo utakuwa umemtoa wife katika mchakato kwa sababu yeye anamuamini sana huyo HG. Halafu wewe utakuwa ume deal na HG directly.

Inawezekana pia HG ana utoto tu na hajaelewa mipaka anataka kuishi ki MTV halafu wewe mzee wa kuliamsha mapema.

Unaweza kumueleza wazi kabisa kwamba wewe hutaki mahusiano yako na yeye huyo HG yapelekee yeye HG kuondolewa kazini hapo, na kwamba akifanya mambo fulani usiyoyapenda unaweza kufika huko.

Kifupi unatakiwa kuwa mwanamme mwenye msimamo usioyumbishwa nyumbani kwako.

Kwa watu wanaoelewa maadili ya sehemu ya kazi, muajiri kutembea na muajiriwa ni kama sexual harassment. Mtu anaweza kusema umemlazimisha kutoa rushwa ya mapenzi/ ngono ili aendelee kuwepo kazini.

Sent from my Kimulimuli
 
c61858a958612e8dda62b532a30fd044.jpg
kama ni huyu piga mechi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema ktk maisha yangu,sitakaa nile beki 3 mpaka Dunia inaondoka! Siwezi kumdhalilisha mke wangu kwa kiwango hicho. Mtu pekee ambae naweza kula hapo nyumbani,ni mdogo wa mke wangu km akija kuishi kwangu. Ukiona unaishi na mke,halafu familia ya mkeo ikakubali mtoto wao mwingine wa kike aje aishi kwako,maana yake hiyo familia imekupenda na kukukubali na kukupa nyongeza,ukilaza damu utadharauliwa mno ukweni!!! Ha haaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mazee unakataa kumdhalilisha mkeo kwa kula beki tatu halafu unaona kula mdogo wa mkeo sawa kabisa?

Watu tuko tofauti sana.

Ukila mdogo wa mkeo hiyo mbona ni scandal kubwa yenye kudhalilisha zaidi ya kula HG hata kama zote zinadhalilisha?

Vipi mkeo akiliwa na mdogo wako? Utaona familia yenu imempenda tu na kumuongezea waume?

Hizi ni mila za kwenu au vipi? Maana naweza kukushangaa kumbe kabila lenu mambo kama haya ni ya kawaida kabisa.

Sent from my Kimulimuli
 
Tatizo akimkula bila kujali katumia kinga au hakutumia, tayari atakuwa ameshalikoroga! Beki tatu wa nini watu mko wawili tu ndani ya nyumba? Hivi mnashindwa kuosha vyombo vya watu wawili au Kufua? Mengine tunajitakia wenyewe tu, kwanza wamejikosesha uhuru wa kufanya yao popote pale ndani ya nyumba yao!


What a wonderful comment!
Kuishi na Mke mkiwa wawili tu ndani ya nyumba self contained Ni Raha.
 
Tafuna tu

[HASHTAG]#NitasemaUongoDaimaUkweliKwanguMwiko[/HASHTAG]
 
Mpaka akimbie mwenyewe

[HASHTAG]#NitasemaUongoDaimaUkweliKwanguMwiko[/HASHTAG]
 
Gusa unase! Ukithubutu kumgonga beki3 (hasa hao wa tanga kulikozaliwa tunu za mapenzi) utajikuta unakuwa slave kwake badala ya boss. Mark my words, utapata hasara zifuatazo
1. Utaipoteza heshima na hadhi yako kama boss, kama mume wa boss wake, she will drag you down to her level.
2. Utapoteza heshima kwa jamii yako, ndugu zako, wazazi wako, wakwe zako, shemeji zako....(utakapoonja asali na kuchonga mzinga, lazima siri itavuja)
3. Uta hatarisha ndoa yako, amani kati yako na mkeo, upendo, uaminifu uliomuapia utapeperuka, hatakuamini tena asilani hata kama hamtatengana
Note:
Wanawake warembo na wenye kushawishi na kujipitisha ili kujaribu bahati yao kwako sio huyo beki 3 tu ( I hope so), kwa hiyo, huyu anatumia nafasi yake. Ukimla, ni mlango wa kuwala na hao wa nje ya geti lako ...kule kwenye mizunguko yako ya kila siku.
Advice:
Ni bora ufanye hii kitu nje kabisa, very far from your home. Kuliko wa humo ndani.

Ni kweli mkuu tena nasikia kuna tuvitu vitu wanapewaga eti vingine wananuiza au wanapaka kule mahala ukigusa tu you are gone for good. kuna njia mbili aidha kumtimua kwa gharama yeyote akishindwa akemee mpaka beki tatu alegeee...
 
Mchukulie poa ndugu,muone kama Dada,usile kabisa,tunda haramu,
Ukila tu,umeharibu ndoa yako,hilo kosa,litakutesa kwa muda mrefu sana,ukitaka kula muwaze kwanza mkeo,je akikufanyia hivyo,utavumilia?
I speak from experience,
 
Back
Top Bottom