Umetisha mkuu, me ndio nipo kwenye huo mtego ndugu yangu yani daah.Nilishasema ktk maisha yangu,sitakaa nile beki 3 mpaka Dunia inaondoka! Siwezi kumdhalilisha mke wangu kwa kiwango hicho. Mtu pekee ambae naweza kula hapo nyumbani,ni mdogo wa mke wangu km akija kuishi kwangu. Ukiona unaishi na mke,halafu familia ya mkeo ikakubali mtoto wao mwingine wa kike aje aishi kwako,maana yake hiyo familia imekupenda na kukukubali na kukupa nyongeza,ukilaza damu utadharauliwa mno ukweni!!! Ha haaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni haki yako aiseeUtaanzaje kumcharaza bakora mtoto mwenye chura nzuri na laini ya earlier 20's kwa mfano!!![]()
Haki kama ni mimi nakula hiyo totoo mchana kweupe!
Umekuwa mzalendo sana kumwambia mkeo. Si wanaume wengi wanaoweza hilo.Wakuu,
Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.
Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.
Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)
Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.
Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.
Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi
Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.
Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.
Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.
Nimfanyeje huyu beki tara?
Sasa mazee unakataa kumdhalilisha mkeo kwa kula beki tatu halafu unaona kula mdogo wa mkeo sawa kabisa?Nilishasema ktk maisha yangu,sitakaa nile beki 3 mpaka Dunia inaondoka! Siwezi kumdhalilisha mke wangu kwa kiwango hicho. Mtu pekee ambae naweza kula hapo nyumbani,ni mdogo wa mke wangu km akija kuishi kwangu. Ukiona unaishi na mke,halafu familia ya mkeo ikakubali mtoto wao mwingine wa kike aje aishi kwako,maana yake hiyo familia imekupenda na kukukubali na kukupa nyongeza,ukilaza damu utadharauliwa mno ukweni!!! Ha haaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo akimkula bila kujali katumia kinga au hakutumia, tayari atakuwa ameshalikoroga! Beki tatu wa nini watu mko wawili tu ndani ya nyumba? Hivi mnashindwa kuosha vyombo vya watu wawili au Kufua? Mengine tunajitakia wenyewe tu, kwanza wamejikosesha uhuru wa kufanya yao popote pale ndani ya nyumba yao!![]()
Joto lote hiliHaki kama ni mimi nakula hiyo totoo mchana kweupe!
Gusa unase! Ukithubutu kumgonga beki3 (hasa hao wa tanga kulikozaliwa tunu za mapenzi) utajikuta unakuwa slave kwake badala ya boss. Mark my words, utapata hasara zifuatazo
1. Utaipoteza heshima na hadhi yako kama boss, kama mume wa boss wake, she will drag you down to her level.
2. Utapoteza heshima kwa jamii yako, ndugu zako, wazazi wako, wakwe zako, shemeji zako....(utakapoonja asali na kuchonga mzinga, lazima siri itavuja)
3. Uta hatarisha ndoa yako, amani kati yako na mkeo, upendo, uaminifu uliomuapia utapeperuka, hatakuamini tena asilani hata kama hamtatengana
Note:
Wanawake warembo na wenye kushawishi na kujipitisha ili kujaribu bahati yao kwako sio huyo beki 3 tu ( I hope so), kwa hiyo, huyu anatumia nafasi yake. Ukimla, ni mlango wa kuwala na hao wa nje ya geti lako ...kule kwenye mizunguko yako ya kila siku.
Advice:
Ni bora ufanye hii kitu nje kabisa, very far from your home. Kuliko wa humo ndani.