Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Umeona eh! Hapo kwenye rangi baadhi ya Wabongo wanapenda sana kujidekeza. Watu wawili tu ndani ya nyumba! wanataka beki tatu! Hahahahahahah lol! kukaa na vichupi tu ndani ya nyumba au kujirusha popote pale bila ya kuwa na wasiwasi wowote ule ali mradi tu wametia kufuli mlango wao.

Tatizo akimkula bila kujali katumia kinga au hakutumia, tayari atakuwa ameshalikoroga! Beki tatu wa nini watu mko wawili tu ndani ya nyumba? Hivi mnashindwa kuosha vyombo vya watu wawili au Kufua? Mengine tunajitakia wenyewe tu, kwanza wamejikosesha uhuru wa kufanya yao popote pale ndani ya nyumba yao!
 
Hapa ilitakiwa uje na uzi usomeke"NIMEMTAFUNA BEKI TATU WANGU"........ sasa unataka ushauri gani hapa mkuu
 
Umeona eh! Hapo kwenye rangi baadhi ya Wabongo wanapenda sana kujidekeza. Watu wawili tu ndani ya nyumba! wanataka beki tatu! Hahahahahahah lol! kukaa na vichupi tu ndani ya nyumba au kujirusha popote pale bila ya kuwa na wasiwasi wowote ule ali mradi tu wametia kufuli mlango wao.
Raha sana kuishi wawili minikiolewa sitaki mfanykazi ataninyima Uhuru kujimwaga nitamtafuta labda nawatoto nawao kunalikizo nawatoto kwabibi nijinafasi namume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
We unataka umfanyeje? Inaonekana unamchekea ndo maana anafanya yote hayo! Ivi we ni baba mwenye heshima zako kweli??? Mfyuuuuu ndo maana hata unadharauliwa na baki tatu! Na unachotafuta utakipata soon!!
 
Huna msimamo......hivi anaanzaje kukukumbatia???

Ulishindwa kumpiga picha ukamtumia mkeo????
 
mwanaume haombi ushauri kwenye situations kama hizi, Mwanaume mashine.
 
Wife anasema unamsingizia?
Mle halafu akigundua ndio atajua ulikua humsingizii
 
Amua mwenyewe maana hata tukuambie nn hutatusikiliza utafanya unachotaka wewe!
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Mkeo ana akili sana kaamua kukuletea mwanamke mwingine tena inaonekana ni mzuri zaidi ya Mkeo ndo maana kaamua kukuletea huyo ili usihangaike kulala nje na Kama umemwambia lkn anasema unamsingizia "WE HUJASTUKA TU!!! We mgegede acha uboya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww mwanaume acha kujilegeza inamaana kumuona tuu hyo mashine yako inasimama? Utakua na shida sio bure. Halafu eti wife nampendaa sanaa unampenda wakati unamtamani msichana wa kazi?? Si bora ukatamani nje uko. Achana na mawazo na hako kasichana katakuharibia maisha yako kabisa ukabaki na abdalah kichwa wazi wako tuu
 
Wakuu,

Niweke wazi tu kwanza ndoa yangu bado ni changa hata mwaka haina. Na ninampenda sana mke wangu.

Sasa bwana, kuna huyu beki 3 wife kamtafuta kutoka huko Tanga.

Mwanzo alikua na heshima sana na nilimlea kama mdogo wangu. Na wife alimleta ili afanye kazi hapa home maana mara nyingi wife anakuwa kazini na anafanya kazi ya shift (nursing)

Sasa kwa miezi hii miwili, huyu house girl ameanza kubadilika mno.

Wasifu wake ni,
-mweupe
-Ana figa ya hatari na nyuma kafungasha
-mrembo mno
-20 yrs.

Nikiwa home na wife hayupo, huyu housegirl huvaa vinguo vifupi vya kunitega na kupita pita mbele yangu. Au wakati mwingine hujifunga kanga moja na kujipitisha mbele yangu, au huniletea chakula huja na kanga moja. Na leo nimerudi akanikimbilia na kunikumbatia bila kuniachia kwa kama sekunde 30 hivi

Yaani kama wote tunavyo, hakuna mkate unaofurukuta mbele ya chai, huyu mtoto huwa anamtoa nyoka pangoni kila nikimwona.

Kumfukuza kazi ndo siwez akati home kwao ndo wanamtegemea.

Nikimwambia wife, anasema namsingizia mtoto wa watu.

Nimfanyeje huyu beki tara?
Mpe namba za mbele, ubeki 3 hauwezi we ndio kocha wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kufanya nipe namba za huyo beki 3 niwe napiga mimi then nitakuwa nakupa hela ya kumuongezea kwenye mshahara, yaani kama unamlipa 50, mi ntakuongezea 30 ili uwe unamlipa 80.


nafight with my weather
 
Back
Top Bottom