Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,047
- 3,407
- Thread starter
- #141
Nakua nimetoka kazin ndo mapicha yanaanzaKwanza unakaajekaaje nyumbani kibwegebwege toka katafute kazi zakufanya
Nakua nimetoka kazin ndo mapicha yanaanzaKwanza unakaajekaaje nyumbani kibwegebwege toka katafute kazi zakufanya
Wife hataki nirudi home nikose chakulakuna ulazima kwa sasa kuwa na beki tatu?
Ushakula beki tatu wewe nn? Maana unaonekana mzoefuMchukulie poa ndugu,muone kama Dada,usile kabisa,tunda haramu,
Ukila tu,umeharibu ndoa yako,hilo kosa,litakutesa kwa muda mrefu sana,ukitaka kula muwaze kwanza mkeo,je akikufanyia hivyo,utavumilia?
I speak from experience,
mkuu mwambie akiwa nyumbania apike chakula kiwekwe kwenye freezer pasha kwenye micro wave kula .. mkuu unashindwa kununu rice cooker +pressure cooker ukija home unappika within short time unakula nadnai hata gharama haziwezi kufika za mshahara wa dadaWife hataki nirudi home nikose chakula
Ngoja tuone kama uvumilivu utanishinda au la!Hapa ilitakiwa uje na uzi usomeke"NIMEMTAFUNA BEKI TATU WANGU"........ sasa unataka ushauri gani hapa mkuu
Siwez ruhusu houseboy kabisa
Kuhusu nini??Are you serious
sent from my Tecno W3